zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
jezi pendwa ya afande wa zenjiIla kaidharaurisha jezi. Jezi ya Simba siyo ya kutupa chini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jezi pendwa ya afande wa zenjiIla kaidharaurisha jezi. Jezi ya Simba siyo ya kutupa chini.
Sisi tunashona hapa hapa na ndio maana mziko hauchelewi, nyie mlolongo mrefu mpaka madobi wanahusika kwenye kunyoosha jezi.Achana na hizo moka za buku buku pale karume
Hizi suti mlishonea pale Tandika karibu na machaka ya kihaya
Suti mlishonea kwa vitambaa vya mashuka
Halafu fundi mwenyewe mlimkopa, mpaka muda huu hamjamlipa pesa yake.
View attachment 2534972
HahaahhahaSisi tunashona hapa hapa na ndio maana mziko hauchelewi, nyie mlolongo mrefu mpaka madobi wanahusika kwenye kunyoosha jezi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Achana na hizo moka za buku buku pale karume
Hizi suti mlishonea pale Tandika karibu na machaka ya kihaya
Suti mlishonea kwa vitambaa vya mashuka
Halafu fundi mwenyewe mlimkopa, mpaka muda huu hamjamlipa pesa yake.
View attachment 2534972
Acha ulimbukeni wa fashion mkuuSasa zile zilizo chelewa zilikuwa za akina nani?
Madeni kama yapi? Ninacho wakubali habari zetu mnazo,haya nipe za ndani za Yanga.Mnashona hapa hapa kwa vitambaa gani?
Na kwanini msilipe madeni yenu?
Nini kimetokea mkuu?Daaah