zipompa
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,432
- 24,596
na timu pia zote mbovuHuu muonekano wa hii mechi ni mbovu sana basi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na timu pia zote mbovuHuu muonekano wa hii mechi ni mbovu sana basi tu
Sielewi kwa nini camera ya kati haipo juu kama zile za pembeni wakati muda mwingi tunaona kupitia hiyo ya katikati.Huu muonekano wa hii mechi ni mbovu sana basi tu
Bado 3Jumaaaaaa 2
47' Simba 2-0 ASC
kwa timu ganiGoli 5 zitafika kweli kwa speed hii?
huna timu mkuu, wanaruka ruka tuWe tulia
Okay mmetisha nyie wenzetu hamvai jezi mpaka zipigwe pasi tena na dobi wa nje ya nchi.Uko nyuma sana au haukuwa na bando, jezi zilishafika zamani na kuna watu nimewaona wamezivaa hapo uwanjani. Njoo na kingine.
Simba inayowajali wachezaji wake siyo huko ugali sukari FCkwa timu gani
Bora lol...Anaingia ndugu yake na Fei Toto