Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila akianguka, picha ya Bocco inanijia.Si wamtoe atavunjwa tena mguu..
Awe anaruka au anacheza kwa tahadhari kama ChamaWanataka wamrudishe kule kule alipotoka kuuguza majeraha
Jamani...mwacheni Boko ni lijendariKila akianguka, picha ya Bocco inanijia.
Second half tunazo 4, kosakosa 3Dakika 2 zimeongezwa
HT Simba 1-0 ASC
Kama vile ile issues ya jezi zetu zilizopo kwa dobi Ethiopia.Ishu ya Sukari tumeiweka kiporo
kabisa ila mechi muhimu wanang'ang'ana Boco.Mnamuona Phiri. Mashoot yake yote yako on target
Uko nyuma sana au haukuwa na bando, jezi zilishafika zamani na kuna watu nimewaona wamezivaa hapo uwanjani. Njoo na kingine.Kama vile ile issues ya jezi zetu zilizopo kwa dobi Ethiopia.
Tehtehteh mwisho wa mechi utatukana timu nzimaKmmk Israh
Yan timu iko championship nafasi ya 9 inawahenyesha!!!!dunduka hamna timu aisee,hawa watoto wangetana hata na namungo mpm sasa wangekua washakula 5.