Nas Mapesa
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 5,286
- 5,421
Sasa mtu kama kyombo afunguke kwenda wap?huu uwanja ni size yenu msitake kuwachosha wazee wenuUwanja umebana hauruhusu wachezaji kufunguka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mtu kama kyombo afunguke kwenda wap?huu uwanja ni size yenu msitake kuwachosha wazee wenuUwanja umebana hauruhusu wachezaji kufunguka
Pitia bar ya jirani hapo ucheki gemu. Ndo tunavofanya wenzioHatupo kideoni jamani ndo twajirudisha home so tunafatilia humu...
Ni kama tupo tuu kideoni
Unatoa mifano iliyokufa,usifananishe mazingira ya uwekezaji wa wenzetu na kwetu,usishangae kuambiwa hii timu leo imekosa chakula cha mchana na sasa wako uwanjani,usitafute pa kujificha ww huna timu ova.Hujui Mpira na umekaa kishabiki shabiki tu, Kumbuka hizi timu ndogo huwa zinakamia sana timu kubwa , hata Uingereza Man City anaweza akafungwa hata Norwich
Status hairuhusu...Pitia bar ya jirani hapo ucheki gemu. Ndo tunavofanya wenzio
Nimebadili Channel nimeenda ya Simba SC Fans naona hiyo inaenda poa 😅 😅Na huko YouTube ni hivyo hivyo?