ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Hatimaye Siku imefika, Siku Imewadia, Kwa Miamba Miwili Ya Soka Nchi Tanzania Ambayo Inawakilisha Nchi kwenye michuano Ya Kimataifa Kukutana kwa Mtanange wa Dakika 90+ Kwenye Kipute cha Ligi Kuu Tanzania Bara, Ligi Isiyo Na Mdhamini.
Bado Dakika 60 Game Kuanza huku, Mashabiki Wengi Wa Simba wakiwa Wanasubiri kwa hamu kuona kikosi cha Timu yao. Wengi wakitaka kujua Je Stiker Mugalu ataanzia Benchi Au Ataanza na Kikosi cha kwanza? Baada ya kukosa Nafasi nyingi Kwenye Mchezo uliopita na Mtani wa Jadi
Tuwe hapa kwa pamoja kwa Dakika 90 za Mchezo
Here we Go…
Bado Dakika 60 Game Kuanza huku, Mashabiki Wengi Wa Simba wakiwa Wanasubiri kwa hamu kuona kikosi cha Timu yao. Wengi wakitaka kujua Je Stiker Mugalu ataanzia Benchi Au Ataanza na Kikosi cha kwanza? Baada ya kukosa Nafasi nyingi Kwenye Mchezo uliopita na Mtani wa Jadi
Tuwe hapa kwa pamoja kwa Dakika 90 za Mchezo
Here we Go…