Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,420
- 18,298
Simba si kawaida kubutua butua na mipira ya juu,huwa wanaweka mpira chini wanavuta wapinzani wakiona chance wanaahambulia ila leo mipira inapigwa mbele anadaka kipa wa Biashara na hawabadiliki ,halafu kwa ule uwanja mipira ya juu ukituliza hazituliiWachezaji waliokuwa wakipata nafasi walikuwa wanatumia nafasi hizo kuonesha kwamba wanaumhimu hivyo wapewe nafasi
Sasa hawana cha kuhofia