Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Wamejificha nyuma ya keyboardMAKOLOOOOOOO
Kibu anawafelisha sanaHapo mbele kuna utani mwingi sana unaosababishwa ubinafsi, lakini pia hapo nyuma kuna ujinga wa kupanda bila kurudi, counter attack yoyote inakuwa na madhara kwa zaidi ya 70%.
UKWELI ni kwamba tunawashambuliaji ambao hawajui kujiweka kwenye nafasi, mechi nyingi sana tukiwa tunashambulia wao hawapo kati, eti wapo pembeni.
πππKamati ya roho mbaya ndiyo tunaingia π π π π π π π π
Makolo leo kazi wanayoDaaaah kmkmk imekula mwamba
Chanel ipi inaonyesha kwa Dstv??Goli la wazi jamaa anagongesha nguzo?