Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kila mtu ajitahidi kufahulu mambo yake.
Tusubiri wazee wa sayantifiki kalkuleta.
simba kashaenda robo HEAD to HEAD itambeba wakilingana pont 7bu mechi ya kwanza kamfunga bravoJamani naombeni calculator. Bravo akishinda mechi yake ya mwisho na Simba akafungwa na Mwarabu hautakuwa msala?
😅😅 jibu la kibabe sana hili Mtani. LolToboa tu fanta orange unywe
Na kwako pia...Lolote baya liwakute
Thank you. Kuna mjinga mmoja kanijibu sina akili🤣🤣🤣simba kashaenda robo HEAD to HEAD itambeba wakilingana pont 7bu mechi ya kwanza kamfunga bravo
so simba automatickal kashapita robo
supu yetu huwa n 5-1Mabingwa wa kunywa supu ya vibudu 😂
Kiasi😅😅 jibu la kibabe sana hili Mtani. Lol
Iko hivi, bravo game ya kwanza alifungwa na Simba na Leo kadraw kwa hiyo head to head imeshamtoa bravo hata akija kushinda goli 180 mechi ya mwisho haibadilishi kitu ni kukamilisha ratiba na kutafuta wa kuongoza kundi tu.Jamani naombeni calculator. Bravo akishinda mechi yake ya mwisho na Simba akafungwa na Mwarabu hautakuwa msala?
Hahahahaha 🤣Na hamtoi
shirikisho hakuna mkubwa wote ni failureMkubwa mkubwa tuuu
Sio zamu yenu,sema kiama Chenu.Tuhamieni kule sasa zamu yetu nayo imekaribia. Lol 😂😂
Bravo hata washinde goli 100 na Simba akafungwa 235 hawawezi kupita kwa sababu kigezo cha kwanza mkilingana points ni matokeo ya head to headKwa hiyo msimamo upoje?
🙏🏼🙏🏼🙏🏼Iko hivi, bravo game ya kwanza alifungwa na Simba na Leo kadraw kwa hiyo head to head imeshamtoa bravo hata akija kushinda goli 180 mechi ya mwisho haibadilishi kitu ni kukamilisha ratiba na kutafuta wa kuongoza kundi tu.