Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Yaani na ukisikia kila muosha huoshwa ndo hii sasa Mzab.Presha inapanda presha inashuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani na ukisikia kila muosha huoshwa ndo hii sasa Mzab.Presha inapanda presha inashuka
Ile mliyoshangilia kuingia fainalishirikisho hakuna mkubwa wote ni failure
Dooh.Sio zamu yenu,sema kiama Chenu.
Lolote baya liwakute .
Kuna dada mmoja wakuitwa Bantu Lady alikua anatucheka kwa kutukera mno na huyu ShadeeyaJamani hebu nambieni hizo comment za shombo huko juu tulipofungwa maana hata sikuwpo...
Vipi bado mnalo la kusema?
Ila nyiee Simba ni wakali wa hiz kazi
Chemalone pumbavu zako
ni kweli makolo hawana akili aisee 😀😀😀Thank you. Kuna mjinga mmoja kanijibu sina akili🤣🤣🤣
Simba kashaenda robo hata afungwe 109 na Bravo ashinde 200Jamani naombeni calculator. Bravo akishinda mechi yake ya mwisho na Simba akafungwa na Mwarabu hautakuwa msala?
Kipenzi nilitaka kuja ila nilipofungwa chap.
Noona mpaka huku upoRefaaa mpira uishe tunachelewa ndege ya kurudi Bongo
Ibenge atawabebaYaani na ukisikia kila muosha huoshwa ndo hii sasa Mzab.
Ok. Usikae mbali na calculatornavuta muda kuwaona mabingwa
Ya nyuki huwa 3-1supu yetu huwa n 5-1
Bantu Lady anacheka huku amejificha maana shemeji yangu ni mnyama lia lia pole yake kwakweli...Kuna dada mmoja wakuitwa Bantu Lady alikua anatucheka kwa kutukera mno na huyu Shadeeya
Wametoroka uzi, tutawafuata kwenye uzi waoUto uto uto nawaita mara tatu mbona kimya ?