ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa nini asitoboe wakati anaweza shida 3-0?Hata akizifikia, hatoboi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini asitoboe wakati anaweza shida 3-0?Hata akizifikia, hatoboi
Hata akishinda 1000Kwa nini asitoboe wakati anaweza shida 3-0?
Draw tuu kelele kibao 😂Ndoto za kusadikika
Nilikuambia ila kwasababu una kidomo domo nikaamua nikuache na ujinga wakoTujue ya baadaye ya nn wakati ya sasa tunaona mnavyoliwa hapa ugenini?
Kwa nini? Mbona hutoi sababu? Atashinda Simba inafungwa,hapo Simba anaendaje robo?Hata akishinda 1000
Ipo hiviBravo hata washinde goli 100 na Simba akafungwa 235 hawawezi kupita kwa sababu kigezo cha kwanza mkilingana points ni matokeo ya head to head
Simba kaifunga bravo tz na huko ka dro, kati ya points 6 za kuchukua simba kachukua 4 mbele ya bravo, hivyo hata wakilingana points simba tayari ni mbabe mbele ya bravo kwa vigezo vya caf.Kwa nini? Mbona hutoi sababu? Atashinda Simba inafungwa,hapo Simba anaendaje robo?
Kanuni za kipumbavu,yaani uache kuamgali goal difference uje kuangalia head to head? 🚮🚮Simba kaifunga bravo tz na huko ka dro, kati ya points 6 za kuchukua simba kachukua 4 mbele ya bravo, hivyo hata wakilingana points simba tayari ni mbabe mbele ya bravo kwa vigezo vya caf.
Jamani hatuhitaji calculator..tumeshaenda tulikozoeaSimba kaifunga bravo tz na huko ka dro, kati ya points 6 za kuchukua simba kachukua 4 mbele ya bravo, hivyo hata wakilingana points simba tayari ni mbabe mbele ya bravo kwa vigezo vya caf.
Mkuu hiyo sio calculator ni four figure tuJamani hatuhitaji calculator..tumeshaenda tulikozoea
Nimeendelea mtani, Leo mpaka nimalize maana wiki kesho Nina routine sidhani hata kama ntashika simuNilikimbia mtani
Yani ni mpumbavu mnooo
Leo sijui angetubebea mbeleko gani aisee..
Mara ya 3 anafanya huwa utopolo..
Vipi hadithi yetu au mpk mchukue pwenti 3 ndo utaendelea hahahah
Pole master, na mnyama tunashinda game ya costatino tuongoze kundi ili kuepusha kuhesabu vidole😁Kanuni za kipumbavu,yaani uache kuamgali goal difference uje kuangalia head to head? 🚮🚮
Ila inakuaje Simba ana qualify wakati Bado mechi? Mbona Bravos anaweza fikia pointi za Simba?
View: https://x.com/CAFCLCC/status/1878505705835016473?t=z9CR_HhdSRVjlj83IgPd2A&s=19
Wazee wa magazijuto 🤣
Ipo hivi
1. Tofauti ya points
2. Mkilingana point inaangaliwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa (GD)
3. Mkilingana points na GD inayofuata ni Head to Head. Hapo sasa Simba anapenya.
Ndio mtembee na calculator 🏃🏃🏃🏃🏃
Ngoja tuwaonyeshe uku leoHahahahaha 🤣
Umeliona jibu lako