makutupora
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,089
- 4,086
All the best mtaniNgoja tuwaonyeshe uku leo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All the best mtaniNgoja tuwaonyeshe uku leo
Unashinda Leo goli zaidi ya mbiliAll the best mtani
Haipingwi MzeeHii michuano Simba ndo tunaojua namna ya kuicheza sio wale wenzetu wengine ni mwendo wa mahesabu, vipimo na makadirio utafikiri wako kwenye topic ya map reading and photography interpretation
Hujui chochote masta, kanuni za CAF hizi hapa jisomee mwenyeweIpo hivi
1. Tofauti ya points
2. Mkilingana point inaangaliwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa (GD)
3. Mkilingana points na GD inayofuata ni Head to Head. Hapo sasa Simba anapenya.
Kwanini hukusajiliwa wewe akasajiliwa Che Malone?Wanasimba tumkatae Che Mallone.
Acheze Kalabwa.
Che Mallone ni Kirusi hapo Simba.
Nadhani kwakuwa hana mbadalaHuyu atakuwa anampa hela kocha ili acheze sio bure
🙌Hii michuano Simba ndo tunaojua namna ya kuicheza sio wale wenzetu wengine ni mwendo wa mahesabu, vipimo na makadirio utafikiri wako kwenye topic ya map reading and photography interpretation
Ngoja nitaenda kuisoma...safiiiNimeendelea mtani, Leo mpaka nimalize maana wiki kesho Nina routine sidhani hata kama ntashika simu
Analeta ujinga ujingaNimemtukania huyu jamaa ndugu zake wengi sanaaa
Endelea kujamba...Wakali wa hizi kazi, wakali wa mashuzi?
Ila inakuaje Simba ana qualify wakati Bado mechi? Mbona Bravos anaweza fikia pointi za Simba?
View: https://x.com/CAFCLCC/status/1878505705835016473?t=z9CR_HhdSRVjlj83IgPd2A&s=19
Huo ni upuuziItakuwa timu zikiwa nanpoint sawa wanangalia head to head, mlivyokutana ilikuwaje
alifungwa game ya kwanza kwa mkapaKwa nini asitoboe wakati anaweza shida 3-0?
Analeta ujinga ujinga
Kivipi sass upuuzi tena hii ndio nzuri maama inawahusisha nyie wawili tuu.Huo ni upuuzi