OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Uko sahihi, H2H ni bora kuliko GDKivipi sass upuuzi tena hii ndio nzuri maama inawahusisha nyie wawili tuu.
Ile ya magoli bwana mtu anaweza mfumani opponent akampiga 8.
Head to head ndio nzuri.
Kila mashindano yana kanuni zake. Zingatia neno 'mashindano'. Kila msimu mpya huhesabiwa kuwa ni 'shindano' jipya. Mashindano ya CAF CL na CC 2024/2025 kanuni zinaitanguliza hiyo namba 3 kabla ya namba 2. Usikariri, yawezekana mwakani 2025/2026 kanuni zikabadilika, ila haya ya CAF CL na CC 2024/2025 kanuni ndio hivyo, Bravos hawawezi tena kuwa juu ya SimbaIpo hivi
1. Tofauti ya points
2. Mkilingana point inaangaliwa tofauti ya magoli ya kufunga na kufungwa (GD)
3. Mkilingana points na GD inayofuata ni Head to Head. Hapo sasa Simba anapenya.
Kabisa anaboaaaUjinga kabisa,bila ujinga wake tungeshinda ile game aisee.
Kila kitabu na zaka zake bwasheeKwakweli nikiikumbuka Simba ya chama, miquison na bwalya, Hawa wa sasa naona kama wanaigiza tu
Watu wa mtaa wa pili akili haziwakai sawa mpaka wapige kibuduz supuz😂Kila mashindano yana kanuni zake. Zingatia neno 'mashindano'. Kila msimu mpya huhesabiwa kuwa ni 'shindano' jipya. Mashindano ya CAF CL na CC 2024/2025 kanuni zinaitanguliza hiyo namba 3 kabla ya namba 2. Usikariri, yawezekana mwakani 2025/2026 kanuni zikabadilika, ila haya ya CAF CL na CC 2024/2025 kanuni ndio hivyo, Bravos hawawezi tena kuwa juu ya Simba
Tayari ushatoa mlio😆😀😄Kanuni za kipumbavu,yaani uache kuamgali goal difference uje kuangalia head to head? 🚮🚮
Ni kweli lakini nilitegemea tungepiga hatua ili tuitafute nusu fainali lakini sioni daliliKila kitabu na zaka zake bwashee