Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na ile ya Mazembe na MC Alger.Walikua busy na nyuzi za Al Hilal
Sasa unaongea na umeweka ushabiki pembeni. Nakukumbusha simba bado mnajenga timu. Ni.kiherehere chenu tu kutaka kwenda ROBO FINALMabeki wa Simba wanatakiwa kuongeza umakini maana inaonekana Bravos wanategemea mipira ya kushtukiza (counter attack)
Kutoka kwenye ubaya ubwela hadi kwenye insha allah, 😆😆😆Matumaini yapo..... Insha-Allah mambo yatakaa sawa...😃😃
Swali fikirishi hili. 😂😂Kama kombe la loser linawatoa jasho hivi CL mtaweza kweli?
Savimbi kafanya yakeWazee wa kihehere mnaendeleaje huko Angola kwa Savyimbi
Ukiona hivyo ujue hesabu zimeshaanza kukataa Mkuu. 🤣🤣Kutoka kwenye ubaya ubwela hadi kwenye insha allah, 😆😆😆
DaaahSasa unaongea na umeweka ushabiki pembeni. Nakukumbusha simba bado mnajenga timu. Ni.kiherehere chenu tu kutaka kwenda ROBO FINAL
Bado mnajenga timu. Unashangaa UZUBAIFU wa beki wenu? Bado hawajajengeka vyemaKinachofanya beki ya Simba iwe inazubaa ni nini. Maana uwanja hauna hata mashabiki
Tooba. 😂😂Matumaini yapo..... Insha-Allah mambo yatakaa sawa...😃😃
simchezee savimbi weweS
Savimbi kafanya yake
KIpindi cha pili waingie kinyumenyume ile style yenu ya ulozi.Simba wafanye nini kipindi cha pili ili waweze kupata matokeo?
Bado hamjasemaChe malone Mzinguaji sana.
😅😅Bado mnajenga timu. Unashangaa UZUBAIFU wa beki wenu? Bado hawajajengeka vyema
Hamna kitu hawa mbumbumbuKama kombe la loser linawatoa jasho hivi CL mtaweza kweli?
Kutoka kwenye ubaya ubwela hadi kwenye insha allah, 😆😆😆