Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
pamoja na watoto wawili bado wamo, ni cute, ni beautiful girl, huwezi acha kitu nzuri namna ileDah ila kuoa singo maza mwenye watoto wawili ni uongo aisee, yn injini imepasuka mara mbili lazima ubora upungue.
Anyway, inasikitisha sana.
Dah yani naliwazia Hilo Nakosa jibu, dogo na vichenji vyake amekosa mke kweli anaenda kutua hapo?Dah ila kuoa singo maza mwenye watoto wawili ni uongo aisee, yn injini imepasuka mara mbili lazima ubora upungue.
Anyway, inasikitisha sana.
kwani ye hana watoto? Ngoma drooHuyu kijana karogwa sio bure
Huo u-cute ni body ya gari tuu, zungumzia injini.pamoja na watoto wawili bado wamo, ni cute, ni beautiful girl, huwezi acha kitu nzuri namna ile
Labda wangekuwepo wangemuokoa dakika za jioni. Huyu dogo atajutia sana huu wakatiNasikia hawakuhudhulia hata ndugu tu
Anaitwa baba wawili 😂Aziz ki anaitwa baba sasa