Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa ndio mdogo wangu kafanya ujinga huu ndio nauita ujinga ungempa sapoti??sema wabongo ni washirikina wadogo wadogo, Sasa mwana si kasha oa na maisha ni yake sisi tupunguze ujuaji.
sawa ni public figures, ila Wana haki ya kuamua na kuchagua kile waki pendacho.
as long as huwachangii Kodi, you got no word In their life.
Kumbuka infringement of privacy is a crime offense .
Hivi wazazi wake walikuwepo? Labda wangekuwepo wangemuokoa dakika za jioni
Kwahy n both team to score 🔥🔥Azizi akileta watoto wake jumla watakua na watoto 4 na wao wakizaa katoto kamoja jumla watoto 5.
Cute ya Insta?pamoja na watoto wawili bado wamo, ni cute, ni beautiful girl, huwezi acha kitu nzuri namna ile
SangomaMwanetu sijui vikao alikuwa hahudhulii???
HahahahaMwanetu sijui vikao alikuwa hahudhulii???
KamdomoCute ya Insta?
Hii issue ni serious bro, Yanga hawana uchungu kama wazazi wanaleta ushabiki wa kipuuzi tuWazazi wake ni Yanga,huelewi bro
Hivi wazazi wake walikuwepo? Labda wangekuwepo wangemuokoa dakika za jioni
Anakatikiwa vzr au Sio 😂Kijana anachopewa ni Siri yake ivyo amechukua maamuzi Sahihi kutetea Amani yake ya moyo .
Unajua hii issue ni kama unaenda kuoa kitaa na demu humjui vizuri. Halafu kitaa kinashangaa huyu fala vipi. Bahati mbaya unakuwa umezungukwa na wanafiki hawasemi ukweliKijana anachopewa ni Siri yake ivyo amechukua maamuzi Sahihi kutetea Amani yake ya moyo .