Mkereketwa_Huyu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2011
- 9,836
- 7,231
Aziz anahitaji msaada wa kimawazo, hapa kwa kweli kapigwa kitu kizito kichwani na hajuwi ni nini kilichomtokea. Ila kwa dua la mama yake mzazi ataamka tu, kuna wanawake wengine si wa kuoa hata kidogo na Hamisa ni mmoja wao. Imagine unapiga picha na watoto wa wanaume wenzako, yaani hapa dogo katukosea sana wanaume tunaojitambua.