FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

Aziz anahitaji msaada wa kimawazo, hapa kwa kweli kapigwa kitu kizito kichwani na hajuwi ni nini kilichomtokea. Ila kwa dua la mama yake mzazi ataamka tu, kuna wanawake wengine si wa kuoa hata kidogo na Hamisa ni mmoja wao. Imagine unapiga picha na watoto wa wanaume wenzako, yaani hapa dogo katukosea sana wanaume tunaojitambua.
 
Aziz anahitaji msaada wa kimawazo, hapa kwa kweli kapigwa kitu kizito kichwani na hajuwi ni nini kilichomtokea. Ila kwa dua la mama yake mzazi ataamka tu, kuna wanawake wengine si wa kuoa hata kidogo na Hamisa ni mmoja wao. Imagine unapiga picha na watoto wa wanaume wenzako, yaani hapa dogo katukosea sana wanaume tunaojitambua.
Kabisa mkuu yani kanitia hasira kama ndugu yangu wa damu
 
Tunachotaka ni mtoto mwenye kipaji azaliwe. Hapo ndani ya wiki ipigwe shoo ya uhakika mimba ipatikane
 
Sasa itakuwa fasheni wachezaji wa kigeni wakisajiliwa humu humu nchini na mademu pisi kali watapata kirahisi. Mastaa warembo bado wapo wa kuolewa, kama wale makipa wa kigeni wanataka wachangamkie fasta na wao wapate wake. Tz kuna pisi kali kuliko kwao
 
sema wabongo ni washirikina wadogo wadogo, Sasa mwana si kasha oa na maisha ni yake sisi tupunguze ujuaji.

sawa ni public figures, ila Wana haki ya kuamua na kuchagua kile waki pendacho.
as long as huwachangii Kodi, you got no word In their life.

Kumbuka infringement of privacy is a crime offense .
"You can't judge a man before you walk in his shoes. Shucksman say so." Shaggy - It Bun Me.

Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Kiumeni mtu akilialia sana ndoa ya Aziz ni kama vile anataka aolewe yeye.
 
N kweli ila past ya mwanamke n muhimu mno kuizingatia.

Mwanamke kuliwa na wanaume wengi n mbaya kwake ila sio mbaya mwanaume kula wanawake wengi, hiyo n nature.
Wewe mwanamke wako kaliwa na wewe tu?
 
"You can't judge a man before you walk in his shoes. Shucksman say so." Shaggy - It Bun Me.

Mambo ya Ngoswe, muachie Ngoswe mwenyewe.

Kiumeni mtu akilialia sana ndoa ya Aziz ni kama vile anataka aolewe yeye.
sahihi kabisa, sisi wabongo huwa tuna lia lia kuhusu kuingiliwa kwa haki za binadamu.

Ila kwa suala hili la azizi, una ona kabisa Sheria iki fatwa mlango wa jela una wahusu wengi.
 
Dah ila kuoa singo maza mwenye watoto wawili ni uongo aisee, yn injini imepasuka mara mbili lazima ubora upungue.

Anyway, inasikitisha sana.
Kama kununua gari engine piston imetokea ubavuni mara mbili.
 
Wewe mwanamke wako kaliwa na wewe tu?
Kaliwa na wengine kabla yangu na hata baada yangu ataliwa pia.

Ila mwisho wa siku ukweli unabaki palepale, past yenu ya kutembea na wanaume wengi inahusika kwenye kuwahukumu tofauti na kwa mwanaume.

Mfano mrahisi ni kwenye daladala na abiria, mwanamke n sawa na daladala na abiria n sawa na mwanaume.
Kadri daladala nilivyojaza abiria ndivyo inavyozidi kuchoka ila abiria hawachoki.
 
Back
Top Bottom