FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

Mkuu ubao unasoma mbili bila... Yani clean sht
Ukiniuliza Yanga wafanyeje kuhusu Ki wamuuze na tena Uarabuni anatakiwa kwa hela nzuri,kwani siioni stability ya Ki kwa maisha yake na huyu mwanamke nje ya uwanja. Kwani maisha nje ya uwanja ya determined kiwango chako ndani ya uwanjani, sasa kwa huu mkenge aliouvaa bora wamuuze kabla hajaanza kuvurugwa na mkewe.
 
Ukiniuliza Yanga wafanyeje kuhusu Ki wamuuze na tena Uarabuni anatakiwa kwa hela nzuri,kwani siioni stability ya Ki kwa maisha yake na huyu mwanamke nje ya uwanja. Kwani maisha nje ya uwanja ya determined kiwango chako ndani ya uwanjani, sasa kwa huu mkenge aliouvaa bora wamuuze.
Nadhan na hersi ameona amsapoti huu mkenge yeye abebe mkwanja wake apite hiv
 
Watu mnapenda sana kuwa judges wa maisha ya watu mkitumia reference za maisha yenu, mjifunze kuishi maisha yenu, hata hao waliooana ni binadamu kama nyie kuweza au kuiweza ndoa ni majaliwa tu ya mwenyezi Mungu. Iwe ameoa bikra au single maza wa watoto 7 kama imeandikwa awe wake wataishi watazikana
 
Nadhan na hersi ameona amsapoti huu mkenge yeye abebe mkwanja wake apite hiv
Mwenzake Mkude kajipigia Kajala baada ya kuachana na Konde then kaamsha.Yaani anashindwa kujifunza kwa Mkude kwa hawa wadangaji wa mjini, maana hawa unatakiwa kwenda nao kihuni ukileta Usimp wanakunyoosha.
 
Watu mnapenda sana kuwa judges wa maisha ya watu mkitumia reference za maisha yenu, mjifunze kuishi maisha yenu, hata hao waliooana ni binadamu kama nyie kuweza au kuiweza ndoa ni majaliwa tu ya mwenyezi Mungu. Iwe ameoa bikra au single maza wa watoto 7 kama imeandikwa awe wake wataishi watazikana
Ww n singo maza?
 
Watu mnapenda sana kuwa judges wa maisha ya watu mkitumia reference za maisha yenu, mjifunze kuishi maisha yenu, hata hao waliooana ni binadamu kama nyie kuweza au kuiweza ndoa ni majaliwa tu ya mwenyezi Mungu. Iwe ameoa bikra au single maza wa watoto 7 kama imeandikwa awe wake wataishi watazikana
Lakini si kwa ndoa hiyo, dogo ameonewa hawaendani hata kidogo... Dogo anaenda kubebeshwa mzigo waloushindwa kaka zake na tambua mpira wake si ajira rasmi akishuka kiwango ndio imeisha hiyo hapo hamna mapenzi ukweli usemwe tu
 
Back
Top Bottom