Mimi naona 1-3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi naona 1-3
So unaamini Huyo dada ni bora kuliko Hamisa si ndio?Wewe ukiingia IG andika veekashera utamuona wife material kambeba mtoto wa Azizi ki
kama hajampenda ajue huyo mke ni wake katika orodha ya wake zake na mtoto atatunzaLabda hajampenda
Hapana ni muhudhuriaji mzuri tu,sema shida anasinzia wakati woteMwanetu sijui vikao alikuwa hahudhulii???
HeheheAtajua mwenyewe sasa
Yaani nyie kila kitu mnaleta upinzani na kuconclude, kwani Ki mtoto mdogo.Ki kasema anaoa wewe ilitaka Yanga wafanye nini?.Mwacheni maisha yake yy kaamua swala la wazazi wake watamalizana wenyewe. Yanga ndiye mwajili wake na lazima amsupport au ulitaka wasiende.Maana wasingeenda mngeleta upinzani mwengine kwa nini hawajaenda.Hii issue ni serious bro, Yanga hawana uchungu kama wazazi wanaleta ushabiki wa kipuuzi tu
Kakutana na legendMwanetu sijui vikao alikuwa hahudhulii???
Kumbe na wao Hawajaelewa kama Mimi hukuSema nimepitia page za Burkina Faso huko mitandaoni, asee raia hawajaielewa kabisa hii ndoa. Namkubali sana Aziz Ki yuko very humble jamaa. Mungu amsimamie hii ndoa ikawe ya heri kwake.
ETI KATAA NDOA, KATAA PEKE YAKO.
Lakini haiondoi ukweli kwamba wanakuwa wanakosea. Kuwe na sababu za msingi kwa nini wazazi hawapo (kwanza naghairi hakuna sababu za msingi zaidi ya kutokukubaliana na ujinga wako-wazazi wanaona mbali)Wangapi wanaoa hawa wazazi wao hawajui
Ni billnass mtupu huyo mtoto wa kiume