FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

FT: Burkina faso 0: 2 Tanzania

Lakini haiondoi ukweli kwamba wanakuwa wanakosea. Kuwe na sababu za msingi kwa nini wazazi hawapo (kwanza naghairi hakuna sababu za msingi zaidi ya kutokukubalina na ujinga wako)
Kukosea kakosea ila Yanga hawastahili lawama katika hili. Sababu Ki ni mkubwa anauwezo wa kufanya maamuzi yake.Yanga hawana maamuzi kwenye maisha binafsi ya Ki,hayo ni maisha binafsi ya Ki.

Ki kawaambia anaoa wao walichofanya ni kwenda, japo mwana kauvaa mkenge.Sasa wewe unataka Yanga waingile maamuzi yake binafsi (Huo ujinga labda unao wewe wakutaka kuingilia maamuzi binafsi ya mtu sometime zinaitwa hila za kike).
 
Kukosea kakosea ila Yanga hawastahili lawama katika hili. Sababu Ki ni mkubwa anauwezo wa kufanya maamuzi yake.Yanga hawana maamuzi kwenye maisha binafsi ya Ki,hayo ni maisha binafsi ya Ki.

Ki kawaambia anaoa wao walichofanya ni kwenda, japo mwana kauvaa mkenge.Sasa wewe unataka Yanga waingile maamuzi yake binafsi (Huo ujinga labda unao wewe).
Hapo kwenye mkenge nimekuelewa na ndio thumini la Uzi huu
 
Hapo kwenye mkenge nimekuelewa na ndio thumini la Uzi huu
Ktk maisha yetu ya kawaida kuna washkaji kibao wameingia mikenge na tena mpaka wazazi wao sometimes hukataa kushiriki kwenye ndoa zao,lakini hakuzuii kwenda kwenye sherehe ukialikwa utaenda sababu ni mwana japo mwanzoni ulimuonya.

Nilicho mshangaa jamaa kuwalaumu Yanga alitaka Yanga wafanye nini kwenye maamuzi binafsi ya Ki? Kila mchezaji ana maisha yake binafsi baada ya kutoka uwanjani.
 
Kukosea kakosea ila Yanga hawastahili lawama katika hili. Sababu Ki ni mkubwa anauwezo wa kufanya maamuzi yake.Yanga hawana maamuzi kwenye maisha binafsi ya Ki,hayo ni maisha binafsi ya Ki.

Ki kawaambia anaoa wao walichofanya ni kwenda, japo mwana kauvaa mkenge.Sasa wewe unataka Yanga waingile maamuzi yake binafsi (Huo ujinga labda unao wewe wakutaka kuingilia maamuzi binafsi ya mtu sometime zinaitwa hila za kike).
Wana lawama zao. Haiwezekani mimi napotea washkaji mnanisapoti badala ya kuniokoa. Nyie mnakuwa masnitch sio wana

Tuliwahi kuwa na jamaa ofisini alidata na dada la mjini. Baada ya kupata habari mabroo wakamkalisha chini, akawa mbishi. Akatangaza ndoa ya kiislamu, tukawa hatumpi sapoti badala yake tukawasanua wazazi wake. Wakakiwasha siku ya harusi mpaka harusi ikaahirishwa.

Yule mwana anatushukuru mpaka leo
 
Ktk maisha yetu ya kawaida kuna washkaji kibao wameingia mikenge na tena mpaka wazazi wao sometimes hukataa kushiriki kwenye ndoa zao,lakini hakuzuii kwenda kwenye sherehe ukialikwa utaenda sababu ni mwana japo mwanzoni ulimuonya.

Nilicho mshangaa jamaa kuwalaumu Yanga alitaka Yanga wafanye nini kwenye maamuzi binafsi ya Ki? Kila mchezaji ana maisha yake binafsi baada ya kutoka uwanjani.
Sema mmeshindwa kuelewana sababu mhasibu ni kolo mwenzangu nadhan ww ni waupande wa ucharani huko so hapo kaongea kiupinzan wa jadi
 
Wana lawama zao. Haiwezekani mimi napotea washakaji mnanisapoti badala ya kuniokoa. Nyie mnakuwa masnitch sio wana
Brother huku kitaa kuna wana kibao wameivaa mikenge,kushauriwa wameshauriwa ila mwana kakomaa utamfanya nini wakati maisha yake binafsi? Au ndio utasusa kwenda kwenye sherehe yake...?Manake hayo yatakuwa maswala ya kike kwani wanaume hatunaga pigo hizo tunakwambia,ukikomaa nae fresh ukitualika kwenye sherehe tutakuja ila mwisho wa siku linabaki kuwa lako na mke wako.
 
Sema mmeshindwa kuelewana sababu mhasibu ni kolo mwenzangu nadhan ww ni waupande wa ucharani huko so hapo kaongea kiupinzan wa jadi
Hamna jamaa anailaumu club wakati ni maisha binafsi ya mtu.
Nikuulize swali una mwanao kauvaa mkenge ,unamshauri hasikii anakomaa,akioa akikualika utaenda au hutoenda?

Mimi najua Ki kushauriwa atakuwa kashauriwa na wenzake,wakina Mkude watoto mjini na wengineo wengi ila mwana kakomaa unafanya nini?

Au tuassume Ki angekuwa kwao unazani viongozi wa club wangeacha kwenda na Kumsupport?
 
Back
Top Bottom