Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukosea kakosea ila Yanga hawastahili lawama katika hili. Sababu Ki ni mkubwa anauwezo wa kufanya maamuzi yake.Yanga hawana maamuzi kwenye maisha binafsi ya Ki,hayo ni maisha binafsi ya Ki.Lakini haiondoi ukweli kwamba wanakuwa wanakosea. Kuwe na sababu za msingi kwa nini wazazi hawapo (kwanza naghairi hakuna sababu za msingi zaidi ya kutokukubalina na ujinga wako)
Oyaa mkuu chek bichwa hiko manSio mondi Tena?
Hapo kwenye mkenge nimekuelewa na ndio thumini la Uzi huuKukosea kakosea ila Yanga hawastahili lawama katika hili. Sababu Ki ni mkubwa anauwezo wa kufanya maamuzi yake.Yanga hawana maamuzi kwenye maisha binafsi ya Ki,hayo ni maisha binafsi ya Ki.
Ki kawaambia anaoa wao walichofanya ni kwenda, japo mwana kauvaa mkenge.Sasa wewe unataka Yanga waingile maamuzi yake binafsi (Huo ujinga labda unao wewe).
Hii ndoa ni faida kwa hamisa, Aziz hana manufaa yoyote kwenye hiyo ndoaShow off ya ndoa!
Ndio, wanajua kila kitu kuhusu Hamisa asee. Nimeamini dunia kijiji.Kumbe na wao Hawajaelewa kama Mimi huku
Ktk maisha yetu ya kawaida kuna washkaji kibao wameingia mikenge na tena mpaka wazazi wao sometimes hukataa kushiriki kwenye ndoa zao,lakini hakuzuii kwenda kwenye sherehe ukialikwa utaenda sababu ni mwana japo mwanzoni ulimuonya.Hapo kwenye mkenge nimekuelewa na ndio thumini la Uzi huu
Aah kudadek mwamba kachezea na alishakubaliKwahiyo mwanetu wa tandale nae na ujanja wote Akala za uso,,, inakuaje ndg yetu hapo ss
Wana lawama zao. Haiwezekani mimi napotea washkaji mnanisapoti badala ya kuniokoa. Nyie mnakuwa masnitch sio wanaKukosea kakosea ila Yanga hawastahili lawama katika hili. Sababu Ki ni mkubwa anauwezo wa kufanya maamuzi yake.Yanga hawana maamuzi kwenye maisha binafsi ya Ki,hayo ni maisha binafsi ya Ki.
Ki kawaambia anaoa wao walichofanya ni kwenda, japo mwana kauvaa mkenge.Sasa wewe unataka Yanga waingile maamuzi yake binafsi (Huo ujinga labda unao wewe wakutaka kuingilia maamuzi binafsi ya mtu sometime zinaitwa hila za kike).
Sema mmeshindwa kuelewana sababu mhasibu ni kolo mwenzangu nadhan ww ni waupande wa ucharani huko so hapo kaongea kiupinzan wa jadiKtk maisha yetu ya kawaida kuna washkaji kibao wameingia mikenge na tena mpaka wazazi wao sometimes hukataa kushiriki kwenye ndoa zao,lakini hakuzuii kwenda kwenye sherehe ukialikwa utaenda sababu ni mwana japo mwanzoni ulimuonya.
Nilicho mshangaa jamaa kuwalaumu Yanga alitaka Yanga wafanye nini kwenye maamuzi binafsi ya Ki? Kila mchezaji ana maisha yake binafsi baada ya kutoka uwanjani.
Brother huku kitaa kuna wana kibao wameivaa mikenge,kushauriwa wameshauriwa ila mwana kakomaa utamfanya nini wakati maisha yake binafsi? Au ndio utasusa kwenda kwenye sherehe yake...?Manake hayo yatakuwa maswala ya kike kwani wanaume hatunaga pigo hizo tunakwambia,ukikomaa nae fresh ukitualika kwenye sherehe tutakuja ila mwisho wa siku linabaki kuwa lako na mke wako.Wana lawama zao. Haiwezekani mimi napotea washakaji mnanisapoti badala ya kuniokoa. Nyie mnakuwa masnitch sio wana
Leo usiku Leo Usiku Leo Usiku
Hamna jamaa anailaumu club wakati ni maisha binafsi ya mtu.Sema mmeshindwa kuelewana sababu mhasibu ni kolo mwenzangu nadhan ww ni waupande wa ucharani huko so hapo kaongea kiupinzan wa jadi
Hapa mkuu hakuna Usimba na Uyanga. Mbona Mzize alioa mpaka kabadili dini, hatukusemaSema mmeshindwa kuelewana sababu mhasibu ni kolo mwenzangu nadhan ww ni waupande wa ucharani huko so hapo kaongea kiupinzan wa jadi