Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Muacheni jamani kila mtu na maisha yake.Tatzo hakuhudhulia vikao
Nimecheka sana 😂Unajua hii issue ni kama unaenda kuona kitaa na demu humjui vizuri. Halafu kitaa kinashangaa huyu fala vipi. Bahati mbaya unakuwa umezungukwa na wanafiki hawasemi ukweli
Burkina 1 -2 Tanzania
N kweli ila past ya mwanamke n muhimu mno kuizingatia.Muacheni jamani kila mtu na maisha yake.
Singo maza n lazima atete singo maza mwwnzake, hawa watu hawataki kukubali kuwa wamekosea.Anatetea kwamba ni suala la kawaida, mwanetu kumwona anapotea hiv hiv
Wakiharibu wao wanataka na wengine nao waharibuWanadhani kuwa kwenye vikao vyetu hatuwajadili? Ndio agenda kuu kwa taarifa yao
Ila watu et dk za jioni🤣🤣🤣🤣Hivi wazazi wake walikuwepo? Labda wangekuwepo wangemuokoa dakika za jioni
Ni mwendo wa handicap
C bora ht huyo wema injini imechakaa ila bado haijashusha mzigo 😂 mana ile injini inaoshwa vzr inakua kama mpya ila kuchoka pako palepale 😂 kuliko injini ya hamisa imechakaa na imeshusha mzigo mara mbili 🔥Yani ni kama whouz atangaze ndoa kwa sepetu haya si maajabu
Sahihi halafu kakotembeza kwa watu wenye pei zao wamepiga na wamezalisha wakatembea mbele halafu anatoka kijana mmoja mdogo mdogo anaokota anaweka ndani.. dahC bora ht huyo wema injini imechakaa ila bado haijashusha mzigo 😂 mana ile injini inaoshwa vzr inakua kama mpya ila kuchoka pako palepale 😂 kuliko injini ya hamisa imechakaa na imeshusha mzigo mara mbili 🔥
Single maza awe na mtoto mmoja tuu, tofauti na hapo hapana aisee. Sasa hamisa watoto wawili afu baba tofauti 🙌 bado tena na huyo dogo nae anaenda kuwa baba wa tatu 🙌Sahihi halafu kakotembeza kwa watu wenye pei zao wamepiga na wamezalisha wakatembea mbele halafu anatoka kijana mmoja mdogo mdogo anaokota anaweka ndani.. dah
Kitaalam hiyo ni HANDCAPSio full time, hapo na mechi inaanza, Tanzania kapewa magoli mawili ya bure ya kuanza nayo