black angel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2022
- 548
- 773
Chamaaaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfungwe la nne mkuuImegonga mwamba. Kidogo tufungwe la pili. Mpira uishe sasa.
Cha CCM au!?Chamaaaaaaaaa
Alikuwa mjinga sana kurubuniwa kuendelea kucheza Yanga wakati alipata timu Ujerumani. Sasa yupo anahaha tu mtaani. Mbaya zaidi hawana elimu hawakujiongeza kama akina Mayay, Aron Nyanda, Pawasa nkEdibily Jonas Lunyamila moja kati ya mawinga hatari sana kuwahi kutoka kwenye soka la Tanzania.
Akigusa mpira hata mara moja mnistueBocco mtu mbad!
AahahaahWananyweshwa kwama maji huko.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
AmeshagusaAkigusa mpira hata mara moja mnistue
[emoji23][emoji23]Cha CCM au!?
La nne lipi. Tumefungwa goli moja. Hayo mengine yazungumze na Onyango.Mfungwe la nne mkuu
Mkapa alikuwepo ile mechi?? I doubt, sikumbuki vizuri. Kama alicheza basi tayari alishakuwa mtu mzima.Lakini alicheza kijinga sana mechi dhidi ya Raja ile ya 6-0
AaahahajjLa nne lipi. Tumefungwa goli moja. Hayo mengine yazungumze na Onyango.
Mkuu tunasubir muendelezo wa hadithiChama leo hajawalambisha nyasi kama kawaida yake?
Kabisa mkuu. Simba tumefungwa moja tu, hayo mengine ya Onyango.La nne lipi. Tumefungwa goli moja. Hayo mengine yazungumze na Onyango.