XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]FT. SIMBA 1 RAJA 1.
NIKALALE NA MKE WANGU SASA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]FT. SIMBA 1 RAJA 1.
NIKALALE NA MKE WANGU SASA.
AaahahaajaHivi hapa Simba watapata ile 5m ya Mama?
Anayetaka kubisha kuhusu hili akabishane NA HUYO HUYO ONYANGO.Kabisa mkuu. Simba tumefungwa moja tu, hayo mengine ya Onyango.
Alikuwepo, naikumbuka vizuri niliona video yake. Alikula umeme siku hiyo Sekilojo akaja kucheza full back, wakawa wanapitia hukoMkapa alikuwepo ile mechi?? I doubt, sikumbuki vizuri. Kama alicheza basi tayari alishakuwa mtu mzima.
Kenny Mkapa captain bora wa muda wote wa Young Africa.Kenneth Mkapa kwangu ni beki tatu bora kabisa kwa Tanzania kwangu niliyemshuhudia.
Kama hiyo picha ni wewe basi wewe ni bonge la pisi kali lakini kama siyo siwezi sema chochote.Mwenye Avatar ya Mo nakusalimia kwa jina la KHABBA [emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14]
Mkeo atakuwa mwananchi uFT. SIMBA 1 RAJA 1.
NIKALALE NA MKE WANGU SASA.
Hahaha, sikujibu.M
Mkeo atakuwa mwananchi u
Ndiyooooo tena wapewe pale eapotiHata kama Simba wamefungwa, bado wamechukua M5 za mama! Au siyo!
Alishachoka mkuu. Sikutarajia Mkapa kucheza 1998, na huenda akili ilishaanza kufikiria zaidi maisha yake ya kazini kuliko mpira tena.Alikuwepo, naikumbuka vizuri niliona video yake. Alikula umeme siku hiyo Sekilojo akaja kucheza full back, wakawa wanapitia huko
Rigobert Song hajawahi kuwa mchezaji wa maana. Huwa sielewi kwa nini Cameroon wanamuheshimu.Ndiyo maana miye kwenye mashindano ya Afrika,Huwa sishabiikii timu za chini ya Jangwa la Sahara
Miye siku zote hushangilia za Waarabu
Nakumbuka Kuna gemu moja ya Afcon kama sikosei ilikuwa fainali kati ya Misri na Kameruni,nakumbuka ni kiipindi nipo A-Level Lindi Sekondari kati ya 206-2008
Nakumbuka shule nzima pale bwaloni tuliokuwa tunashbiikia timu za Waarabu tuliokuwa Mimi na shombeshombe mmoja hivi wa kiaarbu
Masela Kwa asira walipanga kumwagia magodoro yetu maji iwapo Kameruni wangeshinda Ile fainali
Aaahahahaah
Nakumbuka dakika za lala salama Kuna boya mmoja anaitwa Robert Song alichomesha yeye akiwa pekee yake na kipa wake ndipo mchezaji wa Misri akaenda akafunga goli rahisi kama like la Gerrard alilompa Drogba Ili Man Utd tusichukue kombe dah
AaaaaahjaHahaha, sikujibu.
Hii nayo ni mechi ya kushadadia? Ngoma robo fainali, utopolo mlipaswa kuwa mmelalaSTADE MUHAMMED V hatokagi mtu iwe waliingia kimbele mbele au kinyume nyume..
Washukuru sana Waarabu walikuwa wamevimbiwa futari, lakini ingekuwa dhahma (zahama).Hamza Khaba mchezaji bora wa wiki. Dogo anajua kufunga
Alikuwepo. Ila nilisikiliza tu kwa radio. Ila ya marudiano hapa Bongo ndio niliangalia iliyoisha 3-3.Mkapa alikuwepo ile mechi?? I doubt, sikumbuki vizuri. Kama alicheza basi tayari alishakuwa mtu mzima.
Rigobert Song hajawahi kuwa mchezaji wa maana. Huwa sielewi kwa nini Cameroon wanamuheshimu.