FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

Mkapa alikuwepo ile mechi?? I doubt, sikumbuki vizuri. Kama alicheza basi tayari alishakuwa mtu mzima.
Alikuwepo, naikumbuka vizuri niliona video yake. Alikula umeme siku hiyo Sekilojo akaja kucheza full back, wakawa wanapitia huko
 
Alikuwepo, naikumbuka vizuri niliona video yake. Alikula umeme siku hiyo Sekilojo akaja kucheza full back, wakawa wanapitia huko
Alishachoka mkuu. Sikutarajia Mkapa kucheza 1998, na huenda akili ilishaanza kufikiria zaidi maisha yake ya kazini kuliko mpira tena.
 
Ndiyo maana miye kwenye mashindano ya Afrika,Huwa sishabiikii timu za chini ya Jangwa la Sahara

Miye siku zote hushangilia za Waarabu
Nakumbuka Kuna gemu moja ya Afcon kama sikosei ilikuwa fainali kati ya Misri na Kameruni,nakumbuka ni kiipindi nipo A-Level Lindi Sekondari kati ya 206-2008

Nakumbuka shule nzima pale bwaloni tuliokuwa tunashbiikia timu za Waarabu tuliokuwa Mimi na shombeshombe mmoja hivi wa kiaarbu

Masela Kwa asira walipanga kumwagia magodoro yetu maji iwapo Kameruni wangeshinda Ile fainali


Aaahahahaah

Nakumbuka dakika za lala salama Kuna boya mmoja anaitwa Robert Song alichomesha yeye akiwa pekee yake na kipa wake ndipo mchezaji wa Misri akaenda akafunga goli rahisi kama like la Gerrard alilompa Drogba Ili Man Utd tusichukue kombe dah
Rigobert Song hajawahi kuwa mchezaji wa maana. Huwa sielewi kwa nini Cameroon wanamuheshimu.
 
Back
Top Bottom