FT: CAF Champions League | Raja Casablanca 3-1 Simba S.C | Stade Muhammed V | 01.04.2023

Namuungalia Nyoni hapa. Anacheza zile Basics za mpira sana. Hapotezi pasi kijinga labda achoke baadae
 
Hii tabia ya forward wa Simba kusimama baada ya kupoteza mipira ni ya kifa.la sana. Baleke na Saidoo huo mchezo wanafanya Sana.
Na ndio wachezaji ambao mpaka sasa hawajacheza vizuri... Baleke anajificha kwa mabeki, Ntiba amepanic
 
Goli letu limekataliwa
 
Na huyu Kapombe asicheze kama anataka kujiuza. Aache kupiga pasi sakizi.
 
Goli la wazi kabisa refa amezingua tu. Ofkoz cross ya Gadiel nayo haikuwa elekezi
 
Wanapigana hapa, chama anapata njano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…