Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Tulia wewe mmeshatulizwa ball huko...Hii nayo ni mechi ya kushadadia? Ngoma robo fainali, utopolo mlipaswa kuwa mmelala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia wewe mmeshatulizwa ball huko...Hii nayo ni mechi ya kushadadia? Ngoma robo fainali, utopolo mlipaswa kuwa mmelala
Nani kakwambia Wamoroco wanafunga?Wadhukuru sana Waarabu walikuwa wamevimbiwa futari, lakini ingekuwa dhahma (zahama).
Tusubiri mpangwe na MamelodiHii nayo ni mechi ya kushadadia? Ngoma robo fainali, utopolo mlipaswa kuwa mmelala
Yeye akipata mpira 9/10 anarudisha kwa Manula. Hajui kupiga mbele au sijui kaambiwa kuna zawadi za kutopoteza mpira. Huyu huu uwe msimu wake wa mwisho, tunashukuru kwa huduma yake.Mechi ya yatu hii anasababisha penati
AiseeSTADE MUHAMMED V hatokagi mtu iwe waliingia kimbele mbele au kinyume nyume..
Hamshindi ASAMOAH GYAN aisee.Yule boya allichomesha timu nzima na waafrika wote weusi
Mjini Kwa wiki hii moja kelele zitapungua na heshima juuuSTADE MUHAMMED V hatokagi mtu iwe waliingia kimbele mbele au kinyume nyume..
Na si mara moja. Nakumbuka kama kwenye World Cup aliwahi pia kufanya mapuuza. Kwanza nilikuwa namchukuliaga hana akili ya mpira, alikuwa mtu wa hekaheka tu na kutumia nguvu.Yule boya allichomesha timu nzima na waafrika wote weusi
Ile penati siwezi mlaumu ila ilimnyima ulejendari katika timu yake ya taifaHamshindi ASAMOAH GYAN aisee.
Kipigo kama cha Man U alichokipata kwa Man city 6-1Hongereni kwa kufungwa machache View attachment 2572603
Ndiyo nikaconclude mtu mweusi Bado ana wajibu wa kupambana kama weupe na waasiaNa si mara moja. Nakumbuka kama kwenye World Cup aliwahi pia kufanya mapuuza.
Wameanza midomo akati ilipokuwa 1-1 walikuwa wanashangiliaaa[emoji23]Tulia wewe mmeshatulizwa ball huko...
Sidhani kama umri wako ulimuona huyu jamaa akicheza mpiraRigobert Song hajawahi kuwa mchezaji wa maana. Huwa sielewi kwa nini Cameroon wanamuheshimu.
Ambebee GENTAMYCINEAwabebee Tende?😀View attachment 2572604