Vipers ambao ndiye anayesemwa kuwa ni kibonde, kafungwa tano akiwa huko Morocco nawakati Simba kafungwa goli tatu wakiwa kwao, sijui itakuwaje huko Morocco.Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.
Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..
========
Updates
Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Mkuu hadi sasa hesabu inasomo 0 pointKabisa mkuu.. 6 kwa vipers hao horoya na raja wakija hapa kwa mkapa wanaacha 6 tayari tukiwa na 12 zinatosha kupita
Al Hilal kampasua Al Ahly goli moja ndugu mtabiri.Vipers na AL hilal ndio watakuwa vibonde wa ma group yao
Cha kushangaza vipers na Al hilal eti waliwafunga yanga.
Al Hilal kampasua Al Ahly goli moja ndugu mtabiri.
hamna ktu, simba hamna timuNdio ila atakuwa kibonde tu. Mechi kasaidiwa na jua kali.
Kuna muda unafika caf wanakukatalia kucheza juani..
Si unaona simba kilichomkuta .
Simba angecheza saa 10 angeshinda
Unasema kibonde bila fact, Sio ajabu mechi zake zote za nyumbani akashinda kwasababu hata Mamelod mwenyewe kaambulia goli moja tu nyumbani kwake, akienda Sudan anaweza fungwa pia. Swala la Simba kuambiwa wacheze saa moja sio sababu ya jua bali ni haki ya matangazo.Ndio ila atakuwa kibonde tu. Mechi kasaidiwa na jua kali.
Kuna muda unafika caf wanakukatalia kucheza juani..
Si unaona simba kilichomkuta .
Simba angecheza saa 10 angeshinda
Wacha wee,😝😝Jana nmeangalia ule mpira Sijawaona Horoya ili nijue timu ya kuungana na Simba...Raja wakawaida Simba anamaliza kinara