FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

FT: CAF Champions League: Raja Casablanca 5-0 Vipers

Huyu Vipers anaweza akawa ndio kibonde wa kundi la Simba.

Anacheza na Raja Casablanca tayari kashalambwa 2-0 na game ndio kwanza mbichi..

========
Updates

Raja 5 - 0 Vipers
Wafungaji: Hamza Khabba 5', Jamal Harkass 11', Mohamed Zrida 38' , Yousri Bouzok 59' , Raja Aholou 71'
Vipers ambao ndiye anayesemwa kuwa ni kibonde, kafungwa tano akiwa huko Morocco nawakati Simba kafungwa goli tatu wakiwa kwao, sijui itakuwaje huko Morocco.
 
Ndio ila atakuwa kibonde tu. Mechi kasaidiwa na jua kali.

Kuna muda unafika caf wanakukatalia kucheza juani..

Si unaona simba kilichomkuta .

Simba angecheza saa 10 angeshinda
Unasema kibonde bila fact, Sio ajabu mechi zake zote za nyumbani akashinda kwasababu hata Mamelod mwenyewe kaambulia goli moja tu nyumbani kwake, akienda Sudan anaweza fungwa pia. Swala la Simba kuambiwa wacheze saa moja sio sababu ya jua bali ni haki ya matangazo.
 
Back
Top Bottom