Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Bado siwezi kuwabeza kabisa Watani kwa matokeo haya, yale ya Al Ismaili yanaweza kujirudia, nani ajuaye? [emoji2960]Kiukweli leo tumekosa mabao 3 ya wazi kabisaa, pale mbele pana uchoyoo wa kupeana nafasi, kila mtu analazimisha kufunga, huyu baleke ashaanza nae tabia za ntibanzokizaa, aambiwe ukweli mapemaaa kabla tabia haijawa kubwa zaidi.
Ila bas tulipofikia tumestahili na inatoshaaa.
[emoji120][emoji120][emoji120]
Daah pia Una hoja mkuu,Hayo ni madhara ya kutegemea kila mmoja, akiumia ndio inakuwa issue.
Huyo kila amepata lini uzoefu wakati anakalia benchi? Na Manura akipona huyo anarudi benchi.
Leo ndio mmejua kuwa Wydad ni "team tu" kama Simba sc? Yanu hapo umeogopa tu kuisema hadharani ile kauli yenu ambayo huwa mnaitumia kila Simba Sc ikishinda "imekutana na team mbovu" πHeshima inayobakia kwenye historia ni ile ya kufuzu hatua inayofuata ya nusu fainali. Ila siyo hiyo ya kumfunga Wydad! Maana na yenyewe ni timu tu kama simba.
HII PIA NI HOJA YA NGUVU SANA [emoji116]Woti evaaaaaa
Kuna lolote laweza tokea tukiamua kupaki basi imeisha hiyoo...
Watajutia kosa lao
Mmmmh wee hapanaaaa, mie cna imani na waarabu kabisa hasa waliwa kwao, itatumika kila mbinu washinde mweeehBado siwezi kuwabeza kabisa Watani kwa matokeo haya, yale ya Ismaili yanaweza kujirudia, nani ajuaye? [emoji2960]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Kocha alimsifia baada ya DubaiKibu ka improve sana kiwango
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni mnafikii huyo balaaa, yaan anateseka mnoo na simba. UwiiiiihLeo ndio mmejua kuwa Wydad ni "team tu" kama Simba sc? Yanu hapo umeogopa tu kuisema hadharani ile kauli yenu ambayo huwa mnaitumia kila Simba Sc ikishinda "imekutana na team mbovu" [emoji23]
Hivi huu unafiki huwa mnautoa wapi?
Ukipigwa mechi 2 njano unakosa mechi ya 3Kivipi mkuu,kadi za njano mbaka ziwe 3 ndio risk
Wapi CHAMA wapi KIBUKuna dalili kubwa sana za kutoboa nusu fainali. Kule kwao tutawapangia kikosi cha 5-4-1. (1. Ally, 2. Kennedy Juma, 3. Hussein, 4. Onyango, 5. Inonga, 6. Israel 7. Kapombe 8. Nyoni 9. Baleke, 10. Mzamiru 11. Kanoute)
Una matatizo gani leo una kazi ya kunishangaa kila mahala.?Duh!..ππ
Sawa..na kitakachotokea huko kwa Abacha kitashangaza zaidiKnock out stage huwa wanaangalia nani anasonga mbele.
Hawa wenzetu mpaka unaona wanachukuwa ubingwa wanajuwa approach ya hizi game home and away zinachezaje.
Kinachokwenda kutokea Casablanca hutoamini kama ndio hawa waliocheza leo au mmebadirishiwa timu?
πππWewe wewe weweeeeeh, umeanza?
[emoji23]
Hakuna timu mbovu robo fainali, timu zote mbovu zimeshachujwa kwenye makundi.Leo ndio mmejua kuwa Wydad ni "team tu" kama Simba sc? Yanu hapo umeogopa tu kuisema hadharani ile kauli yenu ambayo huwa mnaitumia kila Simba Sc ikishinda "imekutana na team mbovu" π
Hivi huu unafiki huwa mnautoa wapi?
Sio hao tuKwa Mkapa hatoki [emoji736]
Ila sasa kwa margin hii ya magoli, nisiwe mnafiki hata kama mpira unadunda, tumeaga mashindano, kule kwao hiyo Ijumaa watatupiga goli nyingi.
Tujilaumu wenyewe kwakushindwa kuutumia vizuri uwanja wa nyumbani!!
Lakini pia tuna wachezaji wengi wa kigeni ambao wanakula hela ya bure tu. Sawadogo, Okrah, Ouatarra nk
Nashauri wote watimuliwe!!
Nawatania tu wanazengo..!Kwamba hakikutoshi au unataka kumaanisha nini wewe Pisi Kali? [emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ni ujinga Kwa level aloyofikoa Simba kuwa na mentality ya eti kwenda kufungwa kwao sijui wapi..Kama akiweza kumantain hilo yaani akienda kucheza mpira Aache kulinda kwa sababu hana cha kupoteza hiyo game ; ushindani utakuwa mzuri .
Simba aweke mpira chini na Wydad aweke mpira chini wakimbizane, wanaweza kwenda hata kwenye matuta au Simba akaenda kwa faida ya goli la ugenini endapo atashinda hata moja
Yanga inahitaji sare tu kule, hatuwa hii kumpiga mtu kwake ni issue.Sawa..na kitakachotokea huko kwa Abacha kitashangaza zaidi