Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
16:00hrs.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
16:00hrs.
Mtapigwa kama ngomaView attachment 2616481
BAHLABANE BA NTWA
SHABIKI WA MARUMO GALLANTS TOKA SIJAZALIWA
TIMU PENDWA TANZANIA MPKA SOUTH AFRICA
KUNA MCHEZAJI WA MARUMO KACHEZA ASTON VILLA ANA MECHI 7 MAGOLI 38
Boli limewashinda mmehamia kwenye comedyHuku Betika haisomeki Marumo Gallants, bali Madzivhandila. Huenda Yanga wameletewa timu nyingine
View attachment 2616460
Ahsante wanasimba leo walipanga kutuanzishia threadMabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu ya Marumo Gallants ya kutoka Afrika ya Kusini katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho hatua ya kwanza
Mechi hiyo itayochezwa saa kumi ya jioni, itakuwa ni muhimu kwa Yanga kupata ushindi mzuri kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano
Nitakuwa nawe katika kufuatilia na kuhabarisha kile kitakachokuwa kinajiri kwenye dimba la Mkapa jioni hiyo
Mungu Ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania
Sio commedy mzee, watu tunataka kuweka mzigo. Mambo ya kushabikia tu mpira bila kufaidi hela za wahindi mimi siyataki.Boli limewashinda mmehamia kwenye comedy
Umepoa sana mtani saa tisa usiku ungekua usha weka mkekaKila la heri kwa Marumo GallantsView attachment 2616535
Weka pesa kwa MarumoSio commedy mzee, watu tunataka kuweka mzigo. Mambo ya kushabikia tu mpira bila kufaidi hela za wahindi mimi siyataki.
Ingia hapa uojionee Betika - Tovuti namba # 1 Mtandaoni ya kubashiri TANZANIA
Bahlabane ba Ntwa,namuhla bazokwazi ukuthi abazi ukuthi sizoshaya isigubhu.Bahlabane ba Ntwa...
Sina maneno mengi.
Boli kwishinei sasa mmegeukia vitukoZuwena kma zuwenaView attachment 2616625