FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

Jitihidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.

Michuano ya Azam federation ina husisha timu zilizoshindwa kufuzu kwenye michuano mikubwa?
Ndio mkuu,maana Hadi kitayose hua na green warriors hua wanacheza azam federation cup ila hata hawajulikani wanacheza ligi gani kubwa
 
Kila la kheri wananchi

IMG_20230424_092039.jpg
 
Umeshindwa kombe la loser huko si utabakwa
Tulia wewee. Timu ngumu kwa Simba ziko tatu tu, Wydad tumetoka kupambana nayo na aggr. ilikuwa 1-1, Al Ahly tunammudu. Mamelodi pekee hatuna historia nao ila wanafungika.

Ngoja muonyeshwe mambo haya yanavyofanyika ili mbele huko mkipewa nafasi mjue mchezeje msije mkatia aibu.
 
Ndio mkuu,maana Hadi kitayose hua na green warriors hua wanacheza azam federation cup ila hata hawajulikani wanacheza ligi gani kubwa
Michuano kuitwa ya losers hakujatokana na timu ndogo kutoka local league kushiriki michuano na timu kutoka classic league.

Loser tournament imetokana na timu kushindwa kuhimili michuano mikubwa na hivyo kutupwa kwenye michuano midogo (ambayo ndio losers) kama option ya kupewa second chance ujitafute.

Hapo nimeeleweka au mpaka aisome Sunday Manara na Kikwete?
 
Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu ya Marumo Gallants ya kutoka Afrika ya Kusini katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho hatua ya kwanza

Mechi hiyo itayochezwa saa kumi ya jioni, itakuwa ni muhimu kwa Yanga kupata ushindi mzuri kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano

Nitakuwa nawe katika kufuatilia na kuhabarisha kile kitakachokuwa kinajiri kwenye dimba la Mkapa jioni hiyo

Mungu Ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania

View attachment 2616696
kwanza hakuna club ya mpira inaitwa Dar Young Africans acha ushabiki wa kijinga. Ile club inaitwa Young Africans Sports Club, DSM ni makao yake makuu.
 
Tulia wewee. Timu ngumu kwa Simba ziko tatu tu, Wydad tumetoka kupambana nayo na aggr. ilikuwa 1-1, Al Ahly tunammudu. Mamelodi pekee hatuna historia nao ila wanafungika.

Ngoja muonyeshwe mambo haya yanavyofanyika ili mbele huko mkipewa nafasi mjue mchezeje msije mkatia aibu.
Hao unao wasema hawaja ishia robo finally
 
Jitahidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.

Michuano ya Azam federation ina husisha timu zilizoshindwa kufuzu kwenye michuano mikubwa?
Umeshindwa kufika fainali ya kombe unalo lidharau huko kwa vigogo si utakua ngoma
 
Jitahidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.

Michuano ya Azam federation ina husisha timu zilizoshindwa kufuzu kwenye michuano mikubwa?
Umeshindwa vitu vidogo hivyo vikubwa utaweza? yaani kombe amabalo Pamba FC kashiriki umetoka kapa huko kwa kina Mamelodi si utakua kama changudoa kila mtu anajioigia
 
Michuano kuitwa ya losers hakujatokana na timu ndogo kutoka local league kushiriki michuano na timu kutoka classic league.

Loser tournament imetokana na timu kushindwa kuhimili michuano mikubwa na hivyo kutupwa kwenye michuano midogo (ambayo ndio losers) kama option ya kupewa second chance ujitafute.

Hapo nimeeleweka au mpaka aisome Sunday Manara na Kikwete?
Sawa mwaka jana umecheza huko kwa loser ulifika wapi?
 
Naona kocha kafunga turbo kisinda apo ..leo ni mchaka mchaka
 
Umeshindwa kufika fainali ya kombe unalo lidharau huko kwa vigogo si utakua ngoma
Msimu naocheza mimi hayo mashindano kulikuwa kuna vichwa vigumu.

Timu zinazoshuka daraja kama Marumo hazikupata hiyo nafasi, ukiwemo na wewe.

Loser ya saizi ni ile grade ya mwisho kabisa
 
Umeshindwa vitu vidogo hivyo vikubwa utaweza? yaani kombe amabalo Pamba FC kashiriki umetoka kapa huko kwa kina Mamelodi si utakua kama changudoa kila mtu anajioigia
Na vitu vidogo havikuwa kwenye mkakati wa Club

Hata nyie ambition yenu ilikuwa kufika makundi ya Club Bingwa ila ndoto ikayeyuka.
 
Michuano kuitwa ya losers hakujatokana na timu ndogo kutoka local league kushiriki michuano na timu kutoka classic league.

Loser tournament imetokana na timu kushindwa kuhimili michuano mikubwa na hivyo kutupwa kwenye michuano midogo (ambayo ndio losers) kama option ya kupewa second chance ujitafute.

Hapo nimeeleweka au mpaka aisome Sunday Manara na Kikwete?
Kwa hiv ssa ndani ya Afrika masharik klabu gani inayoshirik mashindano ya hadhi kwa ngazi ya club barani Afrika?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom