Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga hamna budi kufa kiumee.... Maana hawa jamaa kwao ni wa Bad..Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu ya Marumo Gallants ya kutoka Afrika ya Kusini katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho hatua ya kwanza
Mechi hiyo itayochezwa saa kumi ya jioni, itakuwa ni muhimu kwa Yanga kupata ushindi mzuri kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano
Nitakuwa nawe katika kufuatilia na kuhabarisha kile kitakachokuwa kinajiri kwenye dimba la Mkapa jioni hiyo
Mungu Ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania
View attachment 2616696
Hata mie nahitaji LinkMwenye link ya game.
Kwanini hamtaki kuamini kwenye ukweli?Kwanini hamtaki kuuamini uwezo wa Yanga?
Kwanini kila timu ambayo inafungwa na Yanga nyie mnasema ni timu dhaifu?
Tumecheza hatua ya makundi tukazifunga timu kubwa kama TP Mazembe home n away lakini mkadai eti siyo Mazembe ya miaka ile.
Tumeifunga US Monastir hapa kwa mkapa lakini bado mmekuwa watu wa kuibeza Yanga, kwanini?
Huenda wao ndio wanaomiliki simu janja kwa wingi.Uzi utajaa walio KUFA KIUME FC tu.
🤣🤣🤣Uzi utajaa walio KUFA KIUME FC tu.
Haziwezi kupita timu zote, fainali haiwezi chezwa na timu 8Hao unao wasema hawaja ishia robo finally
Mabingwa wanaocheza Shirikisho.Makolo msi jitetee kwenye hili jukwaa.nila mabingwa tu View attachment 2616767