SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Watu wapo busy wanajiandaa kwa CAF Super League, hawana muda wa kuangalia timu zinazoshuka daraja.Boli kwishinei sasa mmegeukia vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wapo busy wanajiandaa kwa CAF Super League, hawana muda wa kuangalia timu zinazoshuka daraja.Boli kwishinei sasa mmegeukia vituko
Channel namba ngapi wakuu?Wakuu game channel namba ngapi Azam
Everton alipewa odds 8.0 Jumatatu hiiKanjibai sio fala View attachment 2616471
Brighton alipigwa kama ngomaEverton alipewa odds 8.0 Jumatatu hii
Unamkumbuka kilichotokea
Umeshindwa kombe la loser huko si utabakwaWatu wapo busy wanajiandaa kwa CAF Super League, hawana muda wa kuangalia timu zinazoshuka daraja.
Yanga1- 0 Marumo!!.
Kila lenye kheri wananchiiii
Nyie ndio mnacheza mashindano ya loserUmeshindwa kombe la loser huko si utabakwa
Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu ya Marumo Gallants ya kutoka Afrika ya Kusini katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho hatua ya kwanza
Mechi hiyo itayochezwa saa kumi ya jioni, itakuwa ni muhimu kwa Yanga kupata ushindi mzuri kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano
Nitakuwa nawe katika kufuatilia na kuhabarisha kile kitakachokuwa kinajiri kwenye dimba la Mkapa jioni hiyo
Mungu Ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania
Azam amekubandua kombe gani?Nyie ndio mnacheza mashindano ya loser
Njooni wote milio elemewa na vilio na majonzi Yanga itawapumzishaUkoo wetu ni mashabiki wa Maruno Gallants kwa kurithishana, Babu yetu alianza kuishabikia tangu mwaka 1920 hivyo ushabiki wake akaturithisha mpaka sisi.....let gooo marumo gallants[emoji120][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji95][emoji95]
Jitahidi uwe na ufahamu wa vitu vidogo vidogo kuepusha kuaibika.Azam amekubandua kombe gani?