Akibisha na hapo kweli huyo dunduka takabifuHalikubadilishwa jina mama,ni kombe kipya baada ya kufutwa CAF cup ambayo Simba wakifika final na CAF winner's cup,Kisha likaletwa confederation cup ndiyo Hilo,ni UEFA walifuta UEFA cup wakaleta Europa na conference,ni makombe mapya
Yea lazima tuwapige huko kwao watake wasitake yaan watatuelewa tu, pigwa ugenine pigwa nyumbani πNa tunafunga vile vileeeπͺπͺπͺπΊπ!!
Kam kauwaaaaπͺπͺπͺπΊπΊSisi ndo Yangaaaa banaππππππͺ!!Yea lazima tuwapige huko kwao watake wasitake yaan watatuelewa tu, pigwa ugenine pigwa nyumbani π
Leo tunalala usingizi mzuri asee nmepanda kwenye bajaj shabiki wa Simba analalamika πKam kauwaaaaπͺπͺπͺπΊπΊSisi ndo Yangaaaa banaππππππͺ!!
We Nidiss tu, rusha madongo kisha Jihami.....Mimba imekukataa toa
Makolo wanawewesekajeee leoo! ππππ€!Leo tunalala usingizi mzuri asee nmepanda kwenye bajaj shabiki wa Simba analalamika π
Hatariiiii jamΓ a kabaki kuonyesha vidole tu eti Gallants wamefika golini Mara 4 sijui wamepata offside tukamuuliza wamepata goli akadakia ndio tukamuuliza goli lipi anasema goli la offside tukamcheka jamΓ a haamini anakomaa ooho kwao watashindwa tukamwambia tulia uje uchanganyikiwe kwa Mara ya Pili π anasema ooho Yanga wamefika golini kwa Gallants Mara 9 Ila on target 4 tukamuuliza wamepata goli hawajapata goli anasema mmepata goli 2 tukamwambia basi tulia uje usimulie na second leg πMakolo wanawewesekajeee leooiππππ€!
Vip mlinyosha mikono ?Mashabiki wa Marumo Gallants tunyooshe mikono juu.
Ndriioooooooo ndrrriiioooo!!KWa shamrashamra hizi mitaani... madunduka wanatamani Yanga ingekuwa ya Wakenya πππView attachment 2616992
Hata hivyo baadaye walipumzishwa.Bado unataka Kisinda na Aziz Ki wapumzishwe??
Na watu wote tuseme AMINA [emoji120]Mimi ni simba ila nadhani yanga anachukua makombe si chini ya matatu msimu huu. Huu unaweza kiwa msimu bora kuliko miaka yote kwa yanga na kwa vilabu vyote tangu ligi kuu inanzishwe.