FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

Mayele ana kimuhemuhe cha kushinda kiasi ambacho anakosa utulivu mbele ya lango.
 
Kipindi cha kwanza kikiisha bila Yanga kufunga watakuwa wamejiweka wao kwa wao kwenye wakati mgumu

Ushindi wa jioni sio mzuri mara nyingi huambatana na goli 1
 
Mabingwa wa Tanzania, Dar es Salaam Young Africans maarufu kama Yanga, jioni ya leo watashuka dimbani uwanja wa Benjamini Mkapa kupambana na timu ya Marumo Gallants ya kutoka Afrika ya Kusini katika mechi ya nusu fainali ya kombe la Shirikisho hatua ya kwanza

Mechi hiyo itayochezwa saa kumi ya jioni, itakuwa ni muhimu kwa Yanga kupata ushindi mzuri kabla ya kwenda nchini Afrika Kusini kwa ajili ya mechi ya marudiano

Nitakuwa nawe katika kufuatilia na kuhabarisha kile kitakachokuwa kinajiri kwenye dimba la Mkapa jioni hiyo

Mungu Ibariki Yanga, Mungu ibariki Tanzania

Kocha atutolee huyo Morocco hamna mchezaji mule

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom