Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Fresh tu kwani kuna tatizo?Unajisikiaje mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fresh tu kwani kuna tatizo?Unajisikiaje mkuu?
Itapigwa comeback hutoaminiMjipange kufa fainali kwa USM Alger
Pumbavu kabisa hawa Marumo. Ruined my day.
Watruuuuuuu weeeuuuwweeeeehhh 🤸🤸🤸🤸🤸🤸💚💚💚💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛Kabisa yaani.
Aminaaaaaaaaaaaahhh!Asante Mungu, tulianza nawewe na tumemaliza nawewe... 🙏🙏🙏
Hapa hatujawafunga wacheza kwaito tu, moja lao moja la Madunduka FC.
Yanga Daima mbele, nyuma mwiko...
🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰🔰
Kapigwe tu katerero..unaeza fanya siku yako iwe nzuriMjipange kufa fainali kwa USM Alger
Pumbavu kabisa hawa Marumo. Ruined my day.
Mafala hayo yashatoka. Yamezingua kise***
Huko kwao tunaenda wagonga kimoko cha asubuhi na mapema hawaGallants Walisha Fungwa Ugenini Mbili Wakashinda 3 Bila [emoji23] Nyumbani
Tunaelekea bondeni
[emoji23][emoji23][emoji23]jibu jepesi Sana hiliiFresh tu kwani kuna tatizo?
Dah! Mzee wa Feisal, unaweza shindana hata na jini. Kwa ubishi upo vizuri.Loser ya mwaka jana ilikuwa na vigogo tofauti na hawa vigoigoi wanaocheza saizi.
Mlipoingia nyinyi ndio mmefanya michuano ionekane ya kipumbavu zaidi
Hamna mkuu sisi wakusini hatukati tamaa hii first leg. Watakuja kwetu nyani hawaMjipange kufa fainali kwa USM Alger
Pumbavu kabisa hawa Marumo. Ruined my day.
Wewe naye hufuatilii mpira. Pyramid alidroo kwao. Tena alichomoa dk ya mwisho. Haya mafala leo yalikua yanacheza kama yana mavi ya miaka 2 kwenye bukta.Hawawezi Kutoka, wana Wiki 1 ya Kujiandaa. Kumbuka Pyramids Alishinda Kwao kwa Madiba Akachezea 2
Hawa Yanga Watapigwa hata 4