Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Nimesikia yupo kwenye orodha ya wachezaji ambao wanaenda kuachwa kwenye msimu unaoanzaHuyu Morrison alitajwa jana kwamba hana kitu kwa sababu baadhi ya wachezaji wa hii timu ngeni waliwahi kucheza naye, ila hapa kawaonyesha kuwa siyo Morrison yule aliyepigwa burn bondeni kwa mabida...