FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

FT: CAF Confederation Cup | Semi Finals | Young Africans SC 2-0 Marumo Gallants FC | Mkapa Stadium | 10/05/2023

Mjipange kufa fainali kwa USM Alger

Pumbavu kabisa hawa Marumo. Ruined my day.
B50A9599-17F5-47CE-9280-29E1F3F8FCC0.jpeg
 
Asante Hanga mitaongea sana baada ya sec leg kule kwao
 
Wale wa mafichoni leo wametokezaaaa
Wapi mwana yanga kindakindaki Bantu Lady nitakupongeza tuu ikiwa mtabeba ubingwa..maaana hata sisi kwa level hii tulishaipitia 🙂🙂🙂
Uliipitia kwenye mashindano gani kombe hili limeanzishwa elfu mbili na tatu(2003) na toka lianzishwe hakuna timu yoyote kutoka Tanzania ambayo ilishacheza hatua ya nusu fainali.
Ni yanga tu kwa huu msimu Sasa wewe ulipitia hii hatua kwenye mashindano gani labda?
 
Uliipitia kwenye mashindano gani kombe hili limeanzishwa elfu mbili na tatu(2003) na toka lianzishwe hakuna timu yoyote kutoka Tanzania ambayo ilishacheza hatua ya nusu fainali.
Ni yanga tu kwa huu msimu Sasa wewe ulipitia hii hatua kwenye mashindano gani labda?
Rudi kwny historia au mmejisahaulisha nyie ni mabingwa wa historia..
Limeanzishwa au limebadilishwa jina?
 
Back
Top Bottom