STUPIDKila la heri kwa Marumo GallantsView attachment 2616535
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
STUPIDKila la heri kwa Marumo GallantsView attachment 2616535
Mjipange kufa fainali kwa USM Alger
Pumbavu kabisa hawa Marumo. Ruined my day.
Hongera nilikuwa na wasiwasi ujueMtani Bill wacha nikutag siku ukiingia jf utaona. 🤣🤣🤣🤣
Waendelee kujifunza kwa tunaocheza semi final 🚶Ndo vile tuu kama nyie mlivyokua mnaishia mwanzo..ila na wa kuna siku watafikia nusu ..
Yah kama nyie mmejifunza kwetu mpk mkapitiliza..Waendelee kujifunza kwa tunaocheza semi final 🚶
Uliipitia kwenye mashindano gani kombe hili limeanzishwa elfu mbili na tatu(2003) na toka lianzishwe hakuna timu yoyote kutoka Tanzania ambayo ilishacheza hatua ya nusu fainali.Wale wa mafichoni leo wametokezaaaa
Wapi mwana yanga kindakindaki Bantu Lady nitakupongeza tuu ikiwa mtabeba ubingwa..maaana hata sisi kwa level hii tulishaipitia 🙂🙂🙂
Stephane Aziz Ki 64'Kwani magoli yamefungwa na nani??
Tuthaminishe..
WANANCHIIIIIIIIIIIIIII💛💚🤣🤣🤣 Nimecheka sana. Lol.
Yanga sio Hanga 🙄Asante Hanga mitaongea sana baada ya sec leg kule kwao
Shangilia lakini usiniguseee
Rudi kwny historia au mmejisahaulisha nyie ni mabingwa wa historia..Uliipitia kwenye mashindano gani kombe hili limeanzishwa elfu mbili na tatu(2003) na toka lianzishwe hakuna timu yoyote kutoka Tanzania ambayo ilishacheza hatua ya nusu fainali.
Ni yanga tu kwa huu msimu Sasa wewe ulipitia hii hatua kwenye mashindano gani labda?
Maneno Kidgo Mpira mwingiii🤣🤣🤣🤣Ila mwaka huu, Yanga ina bahati! Inaweza kuchukua hilo kombe kimchezo mchezo CC Shadeeya
Wajionaje na khali mrembo?Nimeshatagiwa mieee...nipo nimejaa tele