Mwalimu wa tuisheni
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 6,602
- 10,801
Kula chuma hicho GENTAMYCINE 😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
iii iiii iiii iiiii iiii. 😅😅😅😅😅WANANCHIIIIIIIIIIIIIII 💛💚
Kwanini Tena ?Ndo imeisha hyoo sauzi haendi
Sis Kalpana a.k.a kimbenjuu🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗!!Ni bonge la kimbenju huyo mkuu achana naye!
View attachment 2616940
Ana zali alifanyaga hukooooo wakasema asikanyagee tena sauziiiKwanini Tena ?
Namuona figo76 kwenye ubora wake 😁Hii timu ni tamu kila kitu [emoji39][emoji39]View attachment 2616969
Kwa hio kapigwa ban ya Maisha asikanyage sauzi kamweAza zali alifanyaga hukooooo wakasema asikanyagee tena sauziii
Na tutawafunga vilevileeee💪💪👌👌👌👌👌🤗! In Morrison voice 😂😂!Ndo imeisha hyoo sauzi haendi
Sio kubadilishwa jina haya mashindano hayakuwepo kabla ya 2003.Rudi kwny historia au mmejisahaulisha nyie ni mabingwa wa historia..
Limeanzishwa au limebadilishwa jina?
🤣🤣🤣🤣🤣 Kwakweli💚💛 YANGA BINGWA
dhambi zote za NABI apewe Onyango na mashabik wote wa Madunduka🤣
Hoja nzuri kama hii kwa nini isiungwe mkono na kila binadamu mwema?Uwiii Yanga nawagawa bure kabisa 😂😂😂😂😂😂
Kuna mtu hapo juu, kasema dhambi za Nabi apewe Onyango na madunduka wote 😆😆😆😆🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
Halikubadilishwa jina mama,ni kombe kipya baada ya kufutwa CAF cup ambayo Simba wakifika final na CAF winner's cup,Kisha likaletwa confederation cup ndiyo Hilo,ni UEFA walifuta UEFA cup wakaleta Europa na conference,ni makombe mapyaRudi kwny historia au mmejisahaulisha nyie ni mabingwa wa historia..
Limeanzishwa au limebadilishwa jina?
Weeee watammalizaa weeehh!! Hata wakati akiwa makolo hakuendaga Sauzi kisa ikoiko!Kwa hio kapigwa ban ya Maisha asikanyage sauzi kamwe
Credit to le professor nabiUtopolo wapo vizuri sana....mwanzo mzuri sana huu
Basi Safari yake itakua imeishia hapaWeeee watammalizaa weeehh!! Hata wakati akiwa makolo hakuendaga Sauzi kisa ikoiko!
Na tunafunga vile vileee💪💪💪🕺💃!!Basi Safari yake itakua imeishia hapa