XII Tz
JF-Expert Member
- Aug 16, 2020
- 4,345
- 7,076
Cafcl is where we belong,, na ndipo tuna shindaga ugeniniSimba haijawahi kushinda ugenini kwenye mashindano haya ya losers
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cafcl is where we belong,, na ndipo tuna shindaga ugeniniSimba haijawahi kushinda ugenini kwenye mashindano haya ya losers
Waambie wasilete timu uwanjaniTP Mazembe wanapelekewa moto ambao hawajawahi kuushuhudia kwenye uwanja wao.
Nawaza tu, hivi wale wenzangu wa tarehe 16 ya mwezi huu na kile kikosi chao cha wazee, watajificha wapi ili kuondokana na hii dhahama!
Am very sorry. Hiyo timu ya kuiwekea akiba ya maneno, haipo. Yanga siyo Horoya aisee!!Weka akiba ya maneno yasikukute ya Horoya
😄😄😄 Taka taka kabisaCafcl is where we belong,, na ndipo tuna shindaga ugenini
Subiri ban wewe acha porojo..Hii mechi ni kama zile mechi za Umitashunta
Akiba ya maneno inawekwa wapi? Kauli za mliojikatia tamaaWeka akiba ya maneno yasikukute ya Horoya
Simba haijawahi kushinda ugenini kwenye mashindano haya ya losers
Raja huyu huyu aliyewasokomeza kwa aggregate ya 6:1?Wewe unawazia derby za Simba wakati Simba wanawazia mechi na timu kama Raja. Tofauti zetu ziko hapo.
Moderator pita na huyu mwehuUtopolo akishinda leo nipigwe Ban ya angalau siku mbili
Malizia kwenye kombe la mbuziAm very sorry. Hiyo timu ya kuiwekea akiba ya maneno, haipo. Yanga siyo Horoya aisee!!
Hatimaye Yanga ndiye kinara mtarajiwa wa kundi [emoji123]
Yetu machoAkiba ya maneno inawekwa wapi? Kauli za mliojikatia tamaa
Simba mkae kwa kutulia.Timu mbovu kama hii Bado Goli Lile Lile.?
Utopolo hapo ilikuwa mjibwede 7 - 0 mnatuangusha...
Hiyo mliyowanga nchi za watuKwenye Michuano Ya losers..!