permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Ndio maana akili zako zimeanza kuwa ki-ufuta ufuta.Jamani mimi nilikuwa nanjilinji kulima ufuta na yanga wakati natoka alikuwa klabu bingwa na kwa ninavyofahamu mechi za klabu bingwa zimeisha jana.
Sasa uto leo anacheza michuano gani na kule klabu bingwa baada ya kumtoa zalan ilikuwaje?
Kolo yeyote akijibu hili swali mnitag na aweke namba yake ya simu nimtumie afutatu ya futari..Wakati mkiloga Afrika Kusini ilikuwa kombe la tembo?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Heshima ya chuo kikuu irudishwe na darasa la saba C [emoji23][emoji23]Mwananchi....lazima awashe moto.......kurudisha heshima Baada ya makolo kuaibisha nchi
Huko Simba ameshatoka, siyo level yake tena na harudi tena.Kolo yeyote akijibu hili swali mnitag na aweke namba yake ya simu nimtumie afutatu ya futari..
Mmetoka huku Kwa mafanikio gani mnayojivunia wenzetu?Huko Simba ameshatoka, siyo level yake tena na harudi tena.
Level ya Simba SC ni Klabu bingwa tu.
Mnyama anadili na Klabu Bingwa na Super Cup kwa ngazi ya kimataifa.
Leo koloz wanalala na kigagaziko. Fukuto la roho mana tunapeleka moto katikati ya miuno ya kikongo mpaka tunakata shanga.Wa wa wananchiiiiiii! Kila la kheri timu ya wananchi, Timu Bingwa ukanda wa mashariki na kati, Timu inayoongoza Ligi zote za nyumbani na ugenini, Timu iliyochukua makombe yote nyumbani na hili linaenda kuchukuliwa! We are Champuons! Dar young Africans! Daima mbele! I love you Yanga!.
Wananchi wa πΉπΏ ππ tunasubiria furaha tu. πͺWananchiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617]
[emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350][emoji350]
Uchambuzi utafata baadae....
Kumbuka mechi hii itaanza saa 10:00 jioni
Stay tunedView attachment 2573714