Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aya tulia
Vibonde na loosers wa ligi ya mabingwa wanabakana, mmoja lazima achomolewe mwiko nyuma kizembeAlisikika matakowazi fc mmoja kutoka mbumbumbu fc
Kwa kweli. Sijui Yanga wamenloga maana sielewi naangalia nini ni mwili ni mzito kunyanyukaKwa hiyo watu mko serius kabisa mnaangalia mechi ya losers wawili?
Acheni utani wote tunajua Aprili fool haina boxing day
Timu kibonde ni timu iliyonyanyaswa zaidi pale timu mbili zilipokutana. Nadhani ndio maana yake na huo ndio ukweli mchungu kwako na wanasimba woteKwani kuna timu imewahi kuifunga Yanga mara nyingi zaidi ya Simba?
Kibonde ni pale huyo kibonde hajawahi kukufunga ila uwiano wa mshindi kwenye mechi za Simba na Yanga hautoi tafsiri ya uwepo wa kibonde.Timu kibonde ni timu iliyonyanyaswa zaidi pale timu mbili zilipokutana. Nadhani ndio maana yake na huo ndio ukweli mchungu kwako na wanasimba wote
Hivi ukiwa shabiki wa KABWILI FC lazima uwe mwehu?Timu kibonde ni timu iliyonyanyaswa zaidi pale timu mbili zilipokutana. Nadhani ndio maana yake na huo ndio ukweli mchungu kwako na wanasimba wote
Na ndio maana nikasema huu ndio ukweli mchungu ambao hakuna Mwanasimba yeyote anatamani kuusikiaKibonde ni pale huyo kibonde hajawahi kukufunga ila uwiano wa mshindi kwenye mechi za Simba na Yanga hautoi tafsiri ya uwepo wa kibonde.
Sasa ukweli gani tena unazungumzia wakati nimeshakwambia hakuna dhana ya ukibonde na kwamba hakuna timu iliyowahi kumfunga Yanga mara nyingi zaidi ya Simba?Na ndio maana nikasema huu ndio ukweli mchungu ambao hakuna Mwanasimba yeyote anatamani kuusikia
Kuna shabiki mmoja wa Yanga alisemaWananchi wa 🇹🇿 💚💛 tunasubiria furaha tu. 💪
Nasemajee? Simba ndio timu kibonde wa Yanga na hata wewe unalijuaHivi ukiwa shabiki wa KABWILI FC lazima uwe mwehu?
umeulizwa kuna timu iliyoifunga yanga mara nyingi kuliko simba ?
Kuna shabiki mmoja wa Yanga alisemaNa ndio maana nikasema huu ndio ukweli mchungu ambao hakuna Mwanasimba yeyote anatamani kuusikia
Yanga anatembelea nyota ya Simba kwa mkapa.yamga wamegoma kupiga mabomu mochwari