FT: CAF Confederation Cup | TP Mazembe 0-1 Yanga | Stade Tp Mazembe | 02.04.2023

FT: CAF Confederation Cup | TP Mazembe 0-1 Yanga | Stade Tp Mazembe | 02.04.2023

Kuna shabiki mmoja wa Yanga alisema
"Uwanja atakaocheza simba, Yanga ikicheza atashinda kwasabb Simba ni wachawi"
Leo nataka nithibitishe kama kweli Yanga ikicheza kwa mkapa ndiyo inashinda tu tena baada ya kucheza Simba Ila ikiwa nje ambako Simba haipo hawawezi kushinda.
Mechi ya away Yanga alishinda moja tu baada ya kumfunga Africans club.
Hiyo moja walishindaje kama hawawezi?
 
Mazembe wamebadilika sana kipindi cha pili na wanaoneka wanataka bao la uongozi
 
Yanga anatembelea nyota ya Simba kwa mkapa.
Kuna shabiki mmoja wa Yanga alisema
"Uwanja atakaocheza simba, Yanga ikicheza atashinda kwasabb Simba ni wachawi"
Leo nataka nithibitishe kama kweli Yanga ikicheza kwa mkapa ndiyo inashinda tu tena baada ya kucheza Simba Ila ikiwa nje ambako Simba haipo hawawezi kushinda.
Leo nataka nithibitishe kama ni kweli
ni wakuvumilia tuh,alafu tumesha wakanya si watani zao tuna ila hawakomi watani zao ni kina polisi na ihefu
 
Hiyo moja walishindaje kama hawawezi?
Baada ya kupewa nyota moja na Simba.
Leo mkishindwa kumfunga TP Mazembe. Mkajipange sana tena mjitafakari mnakosea wapi?
Simba ina uwezo wa kushinda home and away wala siyo kubahatisha
 
Farid Mussa anawaandikia Wananchi bao la kwanza[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169]
 
Back
Top Bottom