Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana mbona msahaulifu namna hiiNamna hii utopolo je wangekutana na Simba ingekua dhahama hapo hapo kwao
Una moyoKwa kweli. Sijui Yanga wamenloga maana sielewi naangalia nini ni mwili ni mzito kunyanyuka
Huu ndo ukweliSema astaghfirllah mkuu,, mazembe hamna timu hapo
69Dakika ya ngapi huko
Tafuta sehemu yenye hewa safi acha kuvutia bangi chooniMambo yanabadilika mkuu, Yanga kwa sasa ndio timu tishio duniani, hata Arsenal na Bayern Munich wanaelewa
Haya mwambie refa amalize mpira Tanzania ni mbali sana
mazembe ata akikutana na polisi analoa over3.5Ihefu wapo vizuri zaidi kuliko Mazembe
Weka akiba ya maneno mpira una dunda....dakk 90 ziki fikia tamati ruksa kusema chochote...Hii yanga ya mwaka huu inawezachukua kombe la shirikisho
Mkuu we subiri tarehe 16 ndio utajua kwanini Yanga inaogopwa na Arsenal, tutawafanya vile ambavyo hatujawahiTafuta sehemu yenye hewa safi acha kuvutia bangi chooni
Kilichompata Horoya tunakihamishia kwakoMkuu we subiri tarehe 16 ndio utajua kwanini Yanga inaogopwa na Arsenal, tutawafanya vile ambavyo hatujawahi
Mkuu bado tuna goli zetu hapo 2, bado Mayele, musondaHaya mwambie refa amalize mpira Tanzania ni mbali sana
na wewe shabiki wa fc madunduka umetulia kama umechomekwa kitu hapo ulipokalia...kuna shabiki wa utopolo apa banda umiza anarukaruka kama tumbili
Sisi sio Simba bwana, ushindi wetu huko kimataifa sio wa kubahatisha, tunakupiga huku tukikutawalaWeka akiba ya maneno mpira una dunda....dakk 90 ziki fikia tamati ruksa kusema chochote...
SIMBA GUVU MOYA [emoji881]