FT: CAF Confederation Cup | TP Mazembe 0-1 Yanga | Stade Tp Mazembe | 02.04.2023

Hiyo moja walishindaje kama hawawezi?
 
Mazembe wamebadilika sana kipindi cha pili na wanaoneka wanataka bao la uongozi
 
ni wakuvumilia tuh,alafu tumesha wakanya si watani zao tuna ila hawakomi watani zao ni kina polisi na ihefu
 
Hiyo moja walishindaje kama hawawezi?
Baada ya kupewa nyota moja na Simba.
Leo mkishindwa kumfunga TP Mazembe. Mkajipange sana tena mjitafakari mnakosea wapi?
Simba ina uwezo wa kushinda home and away wala siyo kubahatisha
 
Farid Mussa anawaandikia Wananchi bao la kwanza[emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji617][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji172][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169][emoji169]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…