princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 9,245
- 18,347
walienda na jiko la kuchomea visomo[emoji1787][emoji1787]Lingekuwa ni kombe la mbuzi, msingepigwa faini ya $ 10,000/= na CAF, kwa kufanya vitendo vya kishirikina kule Afrika ya Kusini.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
walienda na jiko la kuchomea visomo[emoji1787][emoji1787]Lingekuwa ni kombe la mbuzi, msingepigwa faini ya $ 10,000/= na CAF, kwa kufanya vitendo vya kishirikina kule Afrika ya Kusini.
pata picha asubuhi unaamshwa na 3 - 1[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanaoshiriki club bingwa wamepigwa tatu usiku usiku, tunaamka asubuhi tunaambiwa kuna supu ya Simba.
Tukileta timu Yetu ndo Michuano itabadilika itakuwa Sio Ya Losers.Na nyie leten timu yenu
tumejifunza kwa RajaHongereni yanga, mnapokutana na vibonde kama Tp mazembe una hakikisha unapasua nje ndani,hongereni sana uto
Vyovyote mtakavyoamua kuiita nyiny. Sisi tunataka kazi tu na nyie mvae na shangaTukileta timu Yetu ndo Michuano itabadilika itakuwa Sio Ya Losers.
Tangu lini kwenye hatua ya makundi kuna "aggregate"? Msifosi mambo kwa kuwa tu bado mna aibu ya 6-0 mliyopigwa ndani ya dakika 90.Raja huyu huyu aliyewasokomeza kwa aggregate ya 6:1?
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tarehe 16 mwezi huu, tutakutana na vibonde wengine kwenye NBC premier league.Hongereni yanga, mnapokutana na vibonde kama Tp mazembe una hakikisha unapasua nje ndani,hongereni sana uto
Tutafika tena mochwali trh 14 ndio mtajua wanaume wako kaziniMmefika 'Mochwari' ...Mnapiga Moja tu.?
Tumesikitika Sana.!
Kama ni hivyo basi na wao walipigwa 9 [emoji23][emoji23]Tangu lini kwenye hatua ya makundi kuna "aggregate"? Msifosi mambo kwa kuwa tu bado mna aibu ya 6-0 mliyopigwa ndani ya dakika 90.
Hata Rais wa Horoya pia alisema hivyo hivyo.Tarehe 16 mwezi huu, tutakutana na vibonde wengine kwenye NBC premier league.
Nyie huwa mnamuweza?Hongereni yanga, mnapokutana na vibonde kama Tp mazembe una hakikisha unapasua nje ndani,hongereni sana uto
Nyie Vipers mnamuweza ?
😂🔥🙌Tutafika tena mochwali trh 14 ndio mtajua wanaume wako kazini
Tulisha mteketeza kunguru wa Lumbumbashi huko,tumewaachia mji wao wasafi kabisa🤸🤸Unatuletea updates za kombe la mbuzi halafu unatuambia stay tuned!, nani ana muda huo[emoji41][emoji41][emoji41]
Wewe utakuwa ni chiz.i.Yaani kumfunga kibonde kama Tp mazembe ni mpaka awe pungufu [emoji23]
Aggregate maana yake nini wewe mbumbumbu? shikamoo mzee RageTangu lini kwenye hatua ya makundi kuna "aggregate"? Msifosi mambo kwa kuwa tu bado mna aibu ya 6-0 mliyopigwa ndani ya dakika 90.
Unataka tubishane na hili? Kiufupi aggregate inatumika kwenye hatua za mtoano unless unataka kufosi jambo lako.Aggregate maana yake nini wewe mbumbumbu? shikamoo mzee Rage