Michuano ambayo Kuna timu ilishiriki hadi kuchoma uwanja wa watu kisa ushirikina na bado wakala za usoJamani mimi nilikuwa nanjilinji kulima ufuta na yanga wakati natoka alikuwa klabu bingwa na kwa ninavyofahamu mechi za klabu bingwa zimeisha jana.
Sasa uto leo anacheza michuano gani na kule klabu bingwa baada ya kumtoa zalan ilikuwaje?