FT: CAF Super Cup Final | Al Ahly 0 - 1 USM Algier

FT: CAF Super Cup Final | Al Ahly 0 - 1 USM Algier

Lkn hao hao si ndio walio ndaa hizo chati mwaka ulipita na mwaka huu,why useme mwaka huu wamepwiyanga ila miaka ya nyuma wamepatia, maana humu kuna thread mbili za Okwi za nyuma alipost rank kutoka kwenye source hiyo hiyo.
Sisi tunatembea na zile za CAF mzee, walau kidogo mashabiki wa USMA wangekuwa na midomo kama yenu kidogo wangeeleweka.
 
Sisi tunatembea na zile za CAF mzee, walau kidogo mashabiki wa USMA wangekuwa na midomo kama yenu kidogo wangeeleweka.
Wakati aliye zipost ni mwenzenu Okwi au mnatembea na za CAF baada ya hizi kuwaweka level za chini. Maana mwaka jana mlizileta nyie wenyewe humu JF.
 
Kituko ni kwamba, utakuta uto wanang'ang'ania kuwa nafasi ya tatu Afrika mbele ya USMA ambaye alibeba kombe mbele yao na sasa anasumbuana na Ahly hapa.

Kinachochekesha zaidi kigezo kikubwa wanachotumia kung'ang'ana kuwa juu ya USMA ni medali na kwamba USMA hawakustahili kombe ila wao.
Mkuu, sisi unatuonea bure tu. Zile ranks hatujazitoa sisi. Walalamikie waliozitoa!

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kituko ni kwamba, utakuta uto wanang'ang'ania kuwa nafasi ya tatu Afrika mbele ya USMA ambaye alibeba kombe mbele yao na sasa anasumbuana na Ahly hapa.

Kinachochekesha zaidi kigezo kikubwa wanachotumia kung'ang'ana kuwa juu ya USMA ni medali na kwamba USMA hawakustahili kombe ila wao.

'Nafasi ya tatu wanang'ang'ania' kwani hao Uto ndio walioandaa hizo rank?
USMA kusumbuana na Al Ahly ni credit kwa Yanga kwasababu inaonesha kweli fainali alicheza na timu bora na hata kumfunga USMA nyumbani kwake ni kipimo bora kwa Yanga kwamba kamfunga timu iliyobora na sasa ndiye kidume cha mashindano yote ya CAF huyo.

Tuje sasa kwenye ishu ya rank maana imewatoa watu mapovu leo lakini kipindi Simba anawekwa kwenye ubora kumzidi Sevilla hamkuwa mnahoji.

Ipo hivi,. IFFHS inajihususha na namba pekee na ndio maana wanaitwa international federation of football history and statistics, wao wana deal na overall performance ya timu katika michuano yote anayoshiriki ( michezo ya kitaifa na kimataifa) kisha wana record kila kitu kwanzia magoli ya kufunga, idadi ya magoli ya kufungwa, idadi za clean sheet, idadi ya michezo uliyoshinda, n.k wanachukua kila data inayohusiana na performance kisha vinawekwa katika asilimia ndipo unaona mwisho wa siku wanaweka rank na point. USMA kafanya vizuri kwa kuchukua kombe la shirikisho lakini je kwenye hilo kombe la shirikisho anatakwimu nzuri kuizidi Yanga? Na vipi katika mashindano ya ndani je ana takwimu bora kumzidi Yanga?
 
Nafasi ya tatu wanang'ang'ania kwa Uto ndio walioandaa hizo rank?
USMA kusumbuana na Al Ahly ni credit kwa Yanga kwasababu inaonesha kweli fainali alicheza na timu bora na hata kumfunga USMA nyumbani kwake ni kipimo bora kwa Yanga kwamba kamfunga timu iliyobora na sasa ndiye kidume cha mashindano yote ya CAF huyo.

Tuje sasa kwenye ishu ya rank maana imewatoa watu mapovu leo lakini kipindi Simba anawekwa kwenye ubora kumzidi Sevilla hamkuwa mnahoji.

Ipo hivi,. IFFHS inajihususha na namba pekee na ndio maana wanaitwa international federation of football history and statistics, wao wana deal na overall performance ya timu katika michuano yote anayoshiriki ( michezo ya kitaifa na kimataifa) kisha wana record kila kitu kwanzia magoli ya kufunga, idadi ya magoli ya kufungwa, idadi za ckean sheet, idadi ya michezo uliyoshinda, n.k wanachukua kila data inayohusiana na performance kisha vinawekwa katika asilimia ndipo unaona mwisho wa siku wanaweka rank na point. USMA kafanya vizuri kwa kuchukua kombe la shirikisho lakini je kwenye hilo kombe la shirikisho lakini je anatakwimu nzuri kuizidi Yanga? Na vipi katika mashindano ya ndani je ana takwimu bora kumzidi Yanga?
USM Algier waliocheza na Yanga sio hawa waliocheza na Al Ahly

Kuna mabadiliko ya wachezaji wa tano kwenye kikosi

Hayo mabadiliko sio madogo

Na hayo mabadiliko yamechukua nafasi kubwa kwenye forward line maana yake hilo ndio eneo lililokuwa na udhaifu kwa msimu uliopita.
 
USM Algier waliocheza na Yanga sio hawa waliocheza na Al Ahly

Kuna mabadiliko ya wachezaji wa tano kwenye kikosi

Hayo mabadiliko sio madogo

Na hayo mabadiliko yamechukua nafasi kubwa kwenye forward line maana yake hilo ndio eneo lililokuwa na udhaifu kwa msimu uliopita.

Kwahiyo hawa wa leo wanaitwa timu gani na waliocheza na Yanga fainali wanaitwa timu gani?

Mabadiliko ya wachezaji watano haiwezi kuwa kipimo cha kusema timu imeongezeka ubora kwani wewe ndiye kocha wa USMA kiasi kwamba unajua hadi mantiki ya kuwapumzusha hao wachezaji wengine ni kipi?

Je una kipimo cha kuweza kupima athari ya hao watano waliopumzika leo wangecheza kingetokea nini? Kama unacho hiko kipimo niambie ni kipimo gani? Na SI unit yake ni nini?
 
Back
Top Bottom