[emoji23][emoji23] lala tuu kuna maisha baada ya mpiraaWakuu mimi mpira siuwezi yaani moyo unanikimbia daah
Bora Mungu alivyohificha maana kuna lawama zisizo na msingiKwanini mvua imenyesha lkn,uwanja sio rafiki hata kidgoo Eee Mungu[emoji2969]
Acha kuangalia, Nenda hata ukalale.Wakuu mimi mpira siuwezi yaani moyo unanikimbia daah
Subiri matokeo, rudi huku SAA 12 jioni.Wakuu mimi mpira siuwezi yaani moyo unanikimbia daah
Kisingizio kimepatokana ๐๐Uwanja wa kiboya huu
Yanga always winWakamaria leo mmemuua nani kati ya hawa vigogo wa soka??
Hili ni bure kabsa pamoja na mzizeNaangalia galasa Aziz Ki muonyesha mapaja kitu pekee anachokiweza kwa asilimia zote.