Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Pole...tutaendelea mpk trh 4 mwezi wa 6 mkirudi na kombeMpira umechezwa Jana. Hiyo ni marudio siyo LIVE
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole...tutaendelea mpk trh 4 mwezi wa 6 mkirudi na kombeMpira umechezwa Jana. Hiyo ni marudio siyo LIVE
Punguza hasira, kama hautaki subiri ufike Algeria utatuliaWanafki wakubwa.
Mwambie huyo Kolowizard mpira anacheza Yanga na Mwarabu Simba anaenda kuroga Yanga isishinde ifungwe na Mwarabu ni bongo pekee, baada ya Yanga kuweka kamba kwa goli ya Mayele bandani umiza Simba walikunja sura kweli hawa Kolowizard na wengine walianza kukimbia Banda walipoona waarabu wameshinda goli la Pili eti wakarudi tena ndani na makelele kibao Kolowizard kweli hawaMpira umechezwa Jana. Hiyo ni marudio siyo LIVE
MmepigwaaaaaMwambie huyo Kolowizard mpira anacheza Yanga na Mwarabu Simba anaenda kuroga Yanga isishinde ifungwe na Mwarabu ni bongo pekee, baada ya Yanga kuweka kamba kwa goli ya Mayele bandani umiza Simba walikunja sura kweli hawa Kolowizard na wengine walianza kukimbia Banda walipoona waarabu wameshinda goli la Pili eti wakarudi tena ndani na makelele kibao Kolowizard kweli hawa
Yalikuwa yanakesha airport kusubiri wapinzani wa Simba tuyaitaje?Mwambie huyo Kolowizard mpira anacheza Yanga na Mwarabu Simba anaenda kuroga Yanga isishinde ifungwe na Mwarabu ni bongo pekee, baada ya Yanga kuweka kamba kwa goli ya Mayele bandani umiza Simba walikunja sura kweli hawa Kolowizard na wengine walianza kukimbia Banda walipoona waarabu wameshinda goli la Pili eti wakarudi tena ndani na makelele kibao Kolowizard kweli hawa
Ma ubwaaaaYalikuwa yanakesha airport kusubiri wapinzani wa Simba tuyaitaje?
Nyani, mbwa au bundi?
Sawa mtani tusubiri trh 3/6 meza itapindukaMmepigwaaaaa
Kila la heri mtani...Sawa mtani tusubiri trh 3/6 meza itapinduka
Nakukumbusha tu kule hakuna meza kuna mazuriaSawa mtani tusubiri trh 3/6 meza itapinduka