cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulishawahi kufikaaa ndyoooo.Wote tunagombea kombe na medali,wewe ushawahi kufika hatua hii au walau kupata hata medali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulishawahi kufikaaa ndyoooo.Wote tunagombea kombe na medali,wewe ushawahi kufika hatua hii au walau kupata hata medali.
Wamelowaaaaaaaaa wamelowaaaaaaaa[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]wamelowaaaaaaaaaaa
Mnamemedali zozote labda na mshindi wa pili alipata nini? Manake msichanganye ndondo na confederation.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tulishawahi kufikaaa ndyoooo.
Ila hizi nyau zimepoaaa[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]zimenyeshewa na mvua leoooWamelowaaaaaaaaa wamelowaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba japo upumzike utoke jeiefu kidogo ukapate ka-glass ka wine tafadhali sana,
Ila we jamaa unafeli sana, wakati huyo ndio amefanya muwe 10 uwanjani badala ya 11Utashangaa Aziz Ki ndio anafunga goli kabla ya half time.
Pole ya kipigo ndio wamesahau
Ila uto ni kama walijitakia mnafanyaje vurugu kwani walikuwa hawaingiii
Kwan huko kwenu usiku bado
Kwan huko kwenu usiku bado
Si ulale jaman…. Uchawi utakupeleka wapi wew
Kwa hiko kiherehere ukidondosha tu miwani kwisha habari yakoView attachment 2638760
Ndo kwanza kumekucha..twaserebuka sisi.
Kwa hiko kiherehere ukidondosha tu miwani kwisha habari yako
Embu laka huko😒😒😒
Medali zipooo, wala usiwe na shakaaa.Mnamemedali zozote labda na mshindi wa pili alipata nini? Manake msichanganye ndondo na confederation.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila hizi nyau zimepoaaa[emoji1][emoji1][emoji2][emoji2]zimenyeshewa na mvua leooo
Bas kaka nisameheView attachment 2638762
Maana yake kwanza hapo nicheke 🤣
Mbumbumbu wanajifanya wana furaha kumbe wanailazimisha tu kwa kutokuwa na kombe lolote tangu 2021 [emoji1]Mnamemedali zozote labda na mshindi wa pili alipata nini? Manake msichanganye ndondo na confederation.